Halotel kuna shida ya mtandao au???

Halotel kuna shida ya mtandao au???

Alaf Halotel wameanza kuwa na Tamaa ,,Zaman Ukiweka Salio thu kabla ya Kujiunga chchte ,,Unatumiwa meseji umepokea Mb30 Bure ,Haha lakin sasa hiv hakuna ,,,Alaf pia Ilikuwa kwa Laini ya kawaida ukijiunga Bundle La 500 Unapata Mb 300 ,,Na bundle La Chuo Unapata Mb 600 kwa wiki ,,,Lakin wamebadiLi
 
Jana niljua mb zimeisha ila nkashangaa zimeisha fasta nkalala zangu asubuhi kuna naona notification kucheck mb zipo nyingi tu nkaona tu thread yenye lalamiko haka katabia wamekaanza taratibu kanaelekea kukomaa
Yani mimi nina kifurushi cha wiki nimejiunga alhamis sasa jana saa 4 usiku nikashangaa inakuwa slow nikashangaa inakuwaje na siku bado na sijafanya matumizi makubwa. Nikazima nikawasha hakuna kitu. Nikabadilisha setting hakuna kitu. Nikaamua kulala tu. Nimeamka tena tatizo liko palepale
 
Alaf Halotel wameanza kuwa na Tamaa ,,Zaman Ukiweka Salio thu kabla ya Kujiunga chchte ,,Unatumiwa meseji umepokea Mb30 Bure ,Haha lakin sasa hiv hakuna ,,,Alaf pia Ilikuwa kwa Laini ya kawaida ukijiunga Bundle La 500 Unapata Mb 300 ,,Na bundle La Chuo Unapata Mb 600 kwa wiki ,,,Lakin wamebadiLi
Wameanza kujaa sifa.
 
Kuuuumbe mi toka wiki imeanza nahangaika saana... Inasoma Edge tu. Mpaka nahisi labda laini ni feki. Ukipiga 100 na kubonyeza namba ya kuongea na mhudumu simu inakata. Kubaaf
 
d953162d4af2ddc32fa8fbe848fda47d.jpg
situmii mchina kama wewe,Halotel wako vizuri sana zaidi ya voda na tigo.
Sasa kakuambia nani natumia mchina. Acha upopoma. So wote wanaolalamika hapa wanatumia mchina. Si bure unaweza ukawa una miliki iPhone halafu unakula ugali wa shikamoo.
 
ni kweli mpaka nikawa nashangaaa,hovyo kabisa huku mwanza toka janaa kama saa sita na nusu usiku
 
Back
Top Bottom