Halotel kila siku wanapunguza ukubwa wa bundle

Halotel kila siku wanapunguza ukubwa wa bundle

Naona Halotel biashara imewanogea kila siku wanapunguza ukubwa wa bundle, leo ghafla Tshs 1000 unapata MB 300 from 450 and before that ilikuwa 650MB per day. Halotel msitufanye mazoba tena na speed yenu siku hizi imepungua mno tu. Jiangalieni.
Tunahamia TTCL tunawaachia limtandao lao libivu TTCL napp wakizingua tunarudi Tigo
 
Leo kifurushi cha bila kikomo cha Tshs 999 kinakupatia 250MB za high speed pekee
 
Back
Top Bottom