Halotel janga jingine

Halotel janga jingine

Hakuna mtandao unaoweza kuwa 100% sehemu zote, hata MUNGU anaumba walemavu, ila ukiangalia uwiano halo bado wako vizuri
 
Niwe mkweri. Kwangu mim halotel kwenye internet ni zero kabsa. Naweza fungua page moja ukapita dakika mbili ndo page inafunguka. Kwenye kudowload speed yake huwa inachezea 0.2kb/s speed ambayo ni ndogo mno
pole,
 
kweli mkuu wameanza kuzingua dah najuta sjui tukimbilie wapi sasa mana wengine wote majanga..huyu mvietnam mbona kashaanza kutujaribu mapema hivi
 
Mkuu labda device yako ila halotel ndo anaendelea kuwanyoosha hao wazee voda na wenzie
 
Wandugu baada ya kuujua huu mtandao hakika nilijua nimepata mkombozi ambaye atanifanya niwe kasi hasa kwenye issue zangu za mtandao. Hii ni wiki ya tano tangu halotel mahala nilipo imeanza kusumbua hakuna cha 3g iliyotulia.

Hili tatizo si kwangu tuu, karibia watu wangu wote wa karibu eneo nililopo wananiambia inazingua yaani bora hata kobe wangu voda ambaye nasikia huko mjini ana kasi ya ajabu.

Mwanzoni mwa mwezi huu niliamua kuwapigia watoa huduma nikaambia internet iko vizuri labda sehemu nilipo ndio kuna shida, nikaahidiwa kwa niaba ya wenzangu kuwa watashughulikia hadi leo kimya. Kinachoniuma zaidi nina bonge la bundle la mwezi sasa sielewi kama.

1. Walikuja na nguvu ya soda sasa wamezidiwa?

2. Kama ni tatizo la muda ndo liwe zaidi ya wiki 3?

3. Au wamekula kidogo kitu ili wapunguze ushindani ktk soko

Ni hayo tu.

Niko mkoa mpya wa Songwe wilaya ya Ileje.
Hi!
Wasalimie wote hapo Ileje, wataarifu najipanga kuja kuchukua jimbo 2020!
 
Niko dar nilijaribu Halotel baada ya kusikia watu wanavyowasifia ila nilijuta sana. hata picha za IG zilikuwa hazifunguki, jamii forum ndio kabisaaaa ilikuwa haifungui
 
Pole sana Mkuu kutoka ileje HV mkuu mwashibanda kashachukua jimbo huko???
 
Pole sana Mkuu kutoka ileje HV mkuu mwashibanda kashachukua jimbo huko???
hapana mzee zili mwagika $ huku atali wandari na walambya waka sanda kachukua mama mmoja janneth mbene ccm
 
eg.angalia iko 3g bila network bars some time full 3g with H+ lakini ina load mda mrefu kinoma kuhusu cm yangu ni adroid virsion 5.2
 

Attachments

  • 1473880354440.png
    1473880354440.png
    27.7 KB · Views: 23
  • 1473880454836.png
    1473880454836.png
    26.2 KB · Views: 21
Fiber cable transit data faster than antenna, mitandao mingine yote inatumia antenna aka minara, but halotel fiber cable ambayo ni very expensive lkn wameweza itandaza tz nzima
 
Back
Top Bottom