Mkuu mtandao si vietnam huu auMwanzoni download speed hadi 14 mbs, sasa hivi hata 2 mbs ni shida
voda maeneo inapo patikana 3g nitamu piaMimi mwenyewe sio naongea kwa kubahatisha nimetumia mitandao yote kwenye internet ila nilicho kuja kugundua halotel speed yao sio kubwa ila nikwamba inapatikana maeneo mengi hasa vijijini na inakuwa ni full 3G network ila sio kwamba ina speed kubwa watu wanadanganyika.,,nilikuja kuhakikisha hilo nilipokuja kukaa eneo ambalo mitandao yote inashika 3G network nikaja kupima speed ya internet aise Halotel anakimbizwa vibaya sana na Vodacom.
Walikuja vizuri sasa hivi majangaMkuu mtandao si vietnam huu au
Nilikuwa naangalia epl sasa siwezi tenaKiukweli natumia Halotel ila Speed yake imepungua Siku hizi haiwezi Kustream Live mpira ina goma goma sana
Hata huku mjini ni shida tupuWandugu baada ya kuujua huu mtandao hakika nilijua nimepata mkombozi ambaye atanifanya niwe kasi hasa kwenye issue zangu za mtandao. Hii ni wiki ya tano tangu halotel mahala nilipo imeanza kusumbua hakuna cha 3g iliyotulia.
Hili tatizo si kwangu tuu, karibia watu wangu wote wa karibu eneo nililopo wananiambia inazingua yaani bora hata kobe wangu voda ambaye nasikia huko mjini ana kasi ya ajabu.
Mwanzoni mwa mwezi huu niliamua kuwapigia watoa huduma nikaambia internet iko vizuri labda sehemu nilipo ndio kuna shida, nikaahidiwa kwa niaba ya wenzangu kuwa watashughulikia hadi leo kimya. Kinachoniuma zaidi nina bonge la bundle la mwezi sasa sielewi kama.
1. Walikuja na nguvu ya soda sasa wamezidiwa?
2. Kama ni tatizo la muda ndo liwe zaidi ya wiki 3?
3. Au wamekula kidogo kitu ili wapunguze ushindani ktk soko
Ni hayo tu.
Niko mkoa mpya wa Songwe wilaya ya Ileje.

Sio majungu kiongozi, hawa jamaa wamifanya nibadilishe simu nikiamini kuwa simu nitumiazo pengine zinamatatizo. Lakini baada ya kubadili nyingine ndipo nilipogundua kuwa Internet yao iko chini. Tena chini sana kiasi mambo mengine muhimu huwezi kufanya.Halotel ni kiboko yao haya majungu tu! Wengine wote wajipange! Dar mpaka tukuyu,manyoni mpaka kigoma!![]()
Aitel kumbe ni mtandao nao!! Na matumizi pia tunatofautiana. Wanaotumia fb hata 2g atasifia kuwa inakasi.Halotel ni bomba kama inazingua basi ni aitel yako mbovu