92mtl
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 459
- 309
Wandugu baada ya kuujua huu mtandao hakika nilijua nimepata mkombozi ambaye atanifanya niwe kasi hasa kwenye issue zangu za mtandao. Hii ni wiki ya tano tangu halotel mahala nilipo imeanza kusumbua hakuna cha 3g iliyotulia.
Hili tatizo si kwangu tuu, karibia watu wangu wote wa karibu eneo nililopo wananiambia inazingua yaani bora hata kobe wangu voda ambaye nasikia huko mjini ana kasi ya ajabu.
Mwanzoni mwa mwezi huu niliamua kuwapigia watoa huduma nikaambia internet iko vizuri labda sehemu nilipo ndio kuna shida, nikaahidiwa kwa niaba ya wenzangu kuwa watashughulikia hadi leo kimya. Kinachoniuma zaidi nina bonge la bundle la mwezi sasa sielewi kama.
1. Walikuja na nguvu ya soda sasa wamezidiwa?
2. Kama ni tatizo la muda ndo liwe zaidi ya wiki 3?
3. Au wamekula kidogo kitu ili wapunguze ushindani ktk soko
Ni hayo tu.
Niko mkoa mpya wa Songwe wilaya ya Ileje.
Hili tatizo si kwangu tuu, karibia watu wangu wote wa karibu eneo nililopo wananiambia inazingua yaani bora hata kobe wangu voda ambaye nasikia huko mjini ana kasi ya ajabu.
Mwanzoni mwa mwezi huu niliamua kuwapigia watoa huduma nikaambia internet iko vizuri labda sehemu nilipo ndio kuna shida, nikaahidiwa kwa niaba ya wenzangu kuwa watashughulikia hadi leo kimya. Kinachoniuma zaidi nina bonge la bundle la mwezi sasa sielewi kama.
1. Walikuja na nguvu ya soda sasa wamezidiwa?
2. Kama ni tatizo la muda ndo liwe zaidi ya wiki 3?
3. Au wamekula kidogo kitu ili wapunguze ushindani ktk soko
Ni hayo tu.
Niko mkoa mpya wa Songwe wilaya ya Ileje.