Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,479
Tutawakimbia mtabaki na net yenu mtumie wenyewe icho ki 3G chenu. kwa wale wanaotumia computer, unanunua bandle tufanye ya siku, wiki au mwezi, unachokutana nacho hata kinyonga hana mwendo wa polepole kama huu, na inakata kila wakati, ukidownload kidogo tu video haifiki popote, tafadhali, TTCL na makampuni mengine yenye faida kwa watz pigeni mbio muwafunike hawa jamaa, wanaudhi kupita maelezo.ni kama mnatuibia pesa zetu tu sasa.
 
seriously.
 
Tz ya leo siyo km ya mwaka 47. Kila kukicha matapeli wanaongezeka.
Ni kuwa makin na pesa yako tu vingenevyo utauziwa bundles kweny gunia. Ukija kufungua unakutana na midoli
 
Tutawakimbia mtabaki na net yenu mtumie wenyewe icho ki 3G chenu. kwa wale wanaotumia computer, unanunua bandle tufanye ya siku, wiki au mwezi, unachokutana nacho hata kinyonga hana mwendo wa polepole kama huu, na inakata kila wakati, ukidownload kidogo tu video haifiki popote, tafadhali, TTCL na makampuni mengine yenye faida kwa watz pigeni mbio muwafunike hawa jamaa, wanaudhi kupita maelezo.ni kama mnatuibia pesa zetu tu sasa.
Mkuu mbona Mimi natumia wako vixuri
 
Tutawakimbia mtabaki na net yenu mtumie wenyewe icho ki 3G chenu. kwa wale wanaotumia computer, unanunua bandle tufanye ya siku, wiki au mwezi, unachokutana nacho hata kinyonga hana mwendo wa polepole kama huu, na inakata kila wakati, ukidownload kidogo tu video haifiki popote, tafadhali, TTCL na makampuni mengine yenye faida kwa watz pigeni mbio muwafunike hawa jamaa, wanaudhi kupita maelezo.ni kama mnatuibia pesa zetu tu sasa.
Wewe bila shaka ni mfanyakazi wa voda au tigo umetumwa ili upenyeze chuki kwa watumiaji wa halotel ili wahame

Sasa tunasemaje HATUHAMI NG'O
 
Naona hata huku Tabora inazingua sana sikuizi hii halotel
 
Kwakweli internet ya halotel ni janga, matatizo aliyohainisha mleta uzi ni kweli kabisa,
Mi natumia kwny simu lkn iko slow kinoma, labda kwakua ni Dar maana naona wa mikoani mnasifia halotel internet.
Mh! Mi nina muda natumia Halotel na haijaniangusha hata kidogo. Iko kwenye simu na kwenye modem. Kote inapiga vizuri
 
Back
Top Bottom