Halotel huu ni wizi

kijumbamshale

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
267
86
Ni mara ya pili sasa inanitokea ninapoomba huduma ya kopa salio naambiwa sijakidhi vigezo na sipewi mkopo, lakini cha kushangaza nikiweka vocha nakatwa fedha ambayo sikupewa, piga customer service sasa kama wanapatikana.

Huu sio uungwana kabisa!!! Ni wizi wa mchana peupe
 
Ukishajiunga mara moja kwenye huduma hyo wanaendelea kukukopesha pind salio lnapoisba hata kama hujaomba.
 
Na Mimi wamenichezea mchezo huu wanakukata wakati hawajakukopesha
 
nadhani hukusikiliza maelekezo yao vizuri, huwa wanakwambia kabisa tangia mwanzoni kuwa hii ni permanent subscription, in case unataka kujitoa wanakupa na procedures za kufata.
Hatujakataa kuwa permenent subscription issue ni kuwa upewe huo mkopo lakini mkopo hujapewa na wao wanakata kwa nini?
 
nadhani hukusikiliza maelekezo yao vizuri, huwa wanakwambia kabisa tangia mwanzoni kuwa hii ni permanent subscription, in case unataka kujitoa wanakupa na procedures za kufata.
Hili ndo tatizo la sisi watanzania kwa sehemu kubwa. Tunakurupuka tu kufanya jambo bila kuelewa masharti baadae tunaanza kulaumu
 
Mjukuu wangu ingekuwa busara kujua kinagha ubaga vigezo na Masharti ya huduma husika. Kabla hata hujakubali kujiunga nayo.

Usipende kukopa kopa tu na kulalamika Bila kujua haswa Masharti ya huduma. "Bure aghali" tulishasema wahenga
 
Back
Top Bottom