Halotel huduma zenu mbovu sana

Halotel huduma zenu mbovu sana

Schoolface

Senior Member
Joined
May 7, 2021
Posts
156
Reaction score
165
Habari wana jukwaa,

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza tarehe 29/1/2022 nilikua nahamisha pesa kutoka halotel kwenda mtandao mwingine kwa bahati mbaya nikawa nimekosea kuhamisha ile pesa nikaamua kuwapigia nilipiga simu zaidi ya mara 4 na haikupokelewa baada ya muda mfupi nikatumiwa ujumbe kuwa muhamala nilio fanya umefail kesho yake tarehe 30 nikapiga simu wakapokea wakanambia tatizo langu wameripoti kwa hiyo wanashughulikia ndani ya masaa 24 nikasema sawa leo tarehe 1 nimepiga simu naambiwa tatizo linashughulikiwa kwahyo ningoje mpaka tarehe 3 ndipo pesa yangu itaweza kuludi swali ni je kama pesa ya mteja ilikua kwenye biashara na kama mnavyojua pesa ya biashara inakua kwenye mzunguko yaani ningoje zaidi ya siku5 ndipo pesa ije je biashara yangu inakua imeathirika kwa kiwango gani.

Pia kwanini mnakua hampokei simu kwa wakati yaani unaweza piga zaidi ya mara 5 na cm isipokelewe tena nyakati za usiku ndo unaweza piga hata mara 10 na wasipokee cm huku mitandao mingine watoa huduma wanakuepo masaa24
 
Hivi mkuu hawa jamaa wana ofisi kweli kila nikipiga huduma kwa wateja, mhudumu sijui anatembea na simu ya huduma kwa wateja mara uskie kama yupo gengeni makelele mengi, mara yupo mjini magari yani hamsikilizani sauti ipo mbali, hawa jamaa yao itakuwa anatembea na simu ya huduma kwa wateja
 
Habari wana jukwaa
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza tarehe 29/1/2022 nilikua nahamisha pesa kutoka halotel kwenda mtandao mwingine kwa bahati mbaya nikawa nimekosea kuhamisha ile pesa nikaamua kuwapigia nilipiga cm zaidi ya mara4 na haikupokelewa baada ya muda mfupi nikatumiwa ujumbe kua muhamara nilio fanya umefail kesho yake tarehe 30 nikapiga cm wakapokea wakanambia tatizo langu wameripot kwahyo wanashughulikia ndani ya masaa 24 nikasema sawa leo tarehe 1 nimepiga cm naambiwa tatizo linashughulikiwa kwahyo ningoje mpaka tarehe 3 ndipo pesa yangu itaweza kuludi swali ni je kama pesa ya mteja ilikua kwenye biashara na kama mnavyojua pesa ya biashara inakua kwenye mzunguko yaani ningoje zaidi ya siku5 ndipo pesa ije je biashara yangu inakua imeathirika kwa kiwango gani .
Pia kwanini mnakua hampokei cm kwa wakati yaani unaweza piga zaidi ya mara 5 na cm isipokelewe tena nyakati za usiku ndo unaweza piga hata mara 10 na wasipokee cm huku mitandao mingine watoa huduma wanakuepo masaa24
Kwanza yule demu anayesema namba haipatikani, ana sauti mbaya sana
 
Mie nikiweka tu pesa halopesa na kifurushi cha internet kinakata
 
Halafu hivi ukisharenew line,mfano nikirenew line ya HALOTEL wanaifungua baada ya muda Gani ? YAANI inaanza kufanya kazi baada ya muda Gani ?
 
Hao wapumbav ukipiga uongee na Huduma kwa Wateja Unakuta wanaweka viwimbo vya ajabu ajabu tu
 
Nyie mnatumia halotel ya jehanam au..? Mbona sijawahi kukutana kadhia za namna hii..😂
 
tatizo la halotel hawapokei simu.
juzi kati nimekosea kufanya muamala nawapigia simu hawapokei, nikajaribu kurudisha muamala wananiambia muamala haupo, mara wanasema sijafanya muamala wowote, nikawapotezea.
baada ya kama siku tatu hivi jitihada zote nimefeli nikaona sms wameirudisha hela.
 
Ukinunua umeme mpaka uwakumbushe wakati mwingine ili wakutumie
 
Waacheni halotel wangu, nikiwa sina pesa hua naingia JF bure kupitia halotel wangu.
 
Mimi nina laini za Tigo , Voda na halotel panapokuwa na usawa wa bei na Gb basi halotel naikacha maana naona wanakupa fasta bando siwasingizii naangaliaga kwenye statistics za data usage nikicalculate naona nimepigwa kama10%- 15% .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom