trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,446
- 10,797
Jana nimejiunga kifurushi cha 1000 nikapewa mb 490 baada ya dk 5 wakanitumia nimetumia 75% ya kifirushi cha 500 salio ni mb 53. Halotel sijui wamekuwa vipi, unajiunga kifirushi cha 1000 unapewa mb za kifurushi cha 500
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


