majuto mperungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 394
- 116
Wadau kwa anaeelewa kwanin wahusika apo juu wanatangaza kaz eg. compliance officer kila mara na kuwaita vijana kwenye interview hata mara nne halafu hawawapi kazi. Kwanin wanafanya hivi? Kwanin wanapoteza Muda na nauli za vijana bure!