Kwamba wanakutema wakielekea 5G au wanakutema wakirudi 2G?maana hata hiyo 3G baadhi ya sehemu ni mtihani.kwa hata dakika mbili na zaidi.
Simu yangu ina sapoti Kasi ya 4G, ila sijajua ni kwamba Halotel wanatutema au lah! Maana hii kasi ni ya ki-kobe kobe sana 😡😡