Halotel bado mnatoza tozo za serikali?

Halotel bado mnatoza tozo za serikali?

Suip

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,374
Reaction score
848
Unapotao fedha kutoka kwa wakala bado unatozwa tozo za serikali wakati serikali ilishatamka kuwa tozo za serikali imeshaondolewa kwenye miamala ya simu.Je hii ni sawa au kwa anayefahamu tafadhali ufafanuzi.
IMG_20230819_205002.jpg
 
Back
Top Bottom