Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Simu inaita, Mdada anapokea, jamaa anaongea kwa sauti ya kishamba hivi ...Haloo mpenz, ndo niko kona ya mwisho hapa...
Mdada ambaye anaonekana mjanjamjanja, anajibu ....Okeeee,... nimekwisha.
Yaani hili tangazo nimegundua kuwa kila memba wa familia yangu analipenda, lakini katika vipengele na sababu tofauti. Mi linanikumbusha siku nakwenda ukweni... Dah
Vodacom bwana...
Mdada ambaye anaonekana mjanjamjanja, anajibu ....Okeeee,... nimekwisha.
Yaani hili tangazo nimegundua kuwa kila memba wa familia yangu analipenda, lakini katika vipengele na sababu tofauti. Mi linanikumbusha siku nakwenda ukweni... Dah
Vodacom bwana...