DOKEZO Halmashauri ya wilaya Kinondoni V/S Diwani Urio

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

kidodosi

JF-Expert Member
May 1, 2013
2,290
1,379
Mimi ni fundi ujenzi wa kiwango cha kati nina vijana wa kazi 20,

MSAADA
september 2022, mwekezaji Mzawa alipewa eneo la wazi Ununio Beach na mmiliki Halmashauri ya manispaa kinondoni kwa kufuata taratibu zote na kusaini mkataba , nyaraka za risiti nimeziona na malipo ya yalifanyika kwa control number.

Baada ya mimi na vijana wangu kuanza kazi , ujumbe mzito ulifika wa serikali ya mtaa ukiongozwa na Diwani Urio, wakatoa maagizo kusimamisha shughuli zote zinazoendelea , tayari mwekezaji mzawa alikuwa ameisha chimba kisima , kafunga taa za solar sambamba na maombi ya maji na umeme.

Nilimpa taarifa mwekezaji mzawa na akafanya juhudi za kwenda kupata ufafanuzi serikali ya mtaa na kumuona Mh Diwani , akaambiwa lazima awe na kibali.

Mwekezaji mzawa alikwenda Manispaa kwa shida sana alipewa control number ya kulipia Kibali na akalipa kwa wakati na akapewa kabarua ya GO A HEAD ujenzi uendelee, hapo sasa imeisha ingia october.

Ghafla tena Mr Diwani ametia timu kwa nguvu kubwa akiambatana na mgambo na kuamrisha ujenzi usimame mara moja na kutoa notisi ya maadishi , imekuwa changamoto kwangu na vijana wangu, pia mwekezaji
ameisha ingia gharama nyingi sana japo sijui kiasi lakini mazingira yanaonyesha tu.

Sasa wadau eneo ni la Manispaa ya kinondoni na mwekezaji mzawa amelipa gharama zote za awali tena kwa kutumia control number kutoka manispaa ya kinondoni na mkataba kusainiwa , makadilio ya kodi wameisha kubaliana, Mh Diwani Urio anapata wapi nguvu ya kumsimamisha Mwekezaji mzawa na kuwanyima mapato Halmashauri ya manispaa ya kinondoni?

Wadau naombeni mwongozo nikamshauri tajiri yangu (mwekezaji mzawa) ili kazi iendelee mimi na vijana wangu tupate rizik.
 
mpaka tajiri yako anaingia mkataba alikuwa hajui cha kufanya iwapo kutatokea breach of contract by either side?

na kama kila kitu kiko sawa na amelipa tozo zote zinazostahiki kulingana na mkataba pamoja na miongozo mbalimbali kwanini asirudi kwenye mamlaka husika kupeleka malalamiko yake?

na mwisho kwenye mkataba alioingia na manispaa husika hakuna kipengele kinachoonyesha ulipaji fidia iwapo mmoja atavunja mkataba?
 
Mnajenga nn? Eneo la wazi ukiwa na maana open space?
Hapo nilichoona huyo mwekezaji alitoa pesa huko halmashauri ili afanye hayo anayofanya. Hata yeye pia alikosea. Kifupi nipo na diwani, fateni Sheria
 
mpaka tajiri yako anaingia mkataba alikuwa hajui cha kufanya iwapo kutatokea breach of contract by either side?

na kama kila kitu kiko sawa na amelipa tozo zote zinazostahiki kulingana na mkataba pamoja na miongozo mbalimbali kwanini asirudi kwenye mamlaka husika kupeleka malalamiko yake?

na mwisho kwenye mkataba alioingia na manispaa husika hakuna kipengele kinachoonyesha ulipaji fidia iwapo mmoja atavunja mkataba?
Dah, mkuu umeufunga mjadala wa topic kwa comment yako hii konki!

Watumie hojaji yako hii kuuelewa ukweli wa kinachoendelea kati ya tajiri, Manispaa na Diwani ni nani yupo sahihi.
 
Notice inasemaje au kazuia kwa sababu gani? Maana mwanzo ulisema ni kibali na kibali mmeshapata hapo ndio sijaelewa isije ikawa ni mgongano wa kimaslai na tajiri yako nae hataki kujiongeza

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni fundi ujenzi wa kiwango cha kati nina vijana wa kazi 20,

MSAADA
september 2022, mwekezaji Mzawa alipewa eneo la wazi Ununio Beach na mmiliki Halmashauri ya manispaa kinondoni kwa kufuata taratibu zote na kusaini mkataba , nyaraka za risiti nimeziona na malipo ya yalifanyika kwa control number.

Baada ya mimi na vijana wangu kuanza kazi , ujumbe mzito ulifika wa serikali ya mtaa ukiongozwa na Diwani Urio, wakatoa maagizo kusimamisha shughuli zote zinazoendelea , tayari mwekezaji mzawa alikuwa ameisha chimba kisima , kafunga taa za solar sambamba na maombi ya maji na umeme.

Nilimpa taarifa mwekezaji mzawa na akafanya juhudi za kwenda kupata ufafanuzi serikali ya mtaa na kumuona Mh Diwani , akaambiwa lazima awe na kibali.

Mwekezaji mzawa alikwenda Manispaa kwa shida sana alipewa control number ya kulipia Kibali na akalipa kwa wakati na akapewa kabarua ya GO A HEAD ujenzi uendelee, hapo sasa imeisha ingia october.

Ghafla tena Mr Diwani ametia timu kwa nguvu kubwa akiambatana na mgambo na kuamrisha ujenzi usimame mara moja na kutoa notisi ya maadishi , imekuwa changamoto kwangu na vijana wangu, pia mwekezaji
ameisha ingia gharama nyingi sana japo sijui kiasi lakini mazingira yanaonyesha tu.

Sasa wadau eneo ni la Manispaa ya kinondoni na mwekezaji mzawa amelipa gharama zote za awali tena kwa kutumia control number kutoka manispaa ya kinondoni na mkataba kusainiwa , makadilio ya kodi wameisha kubaliana, Mh Diwani Urio anapata wapi nguvu ya kumsimamisha Mwekezaji mzawa na kuwanyima mapato Halmashauri ya manispaa ya kinondoni?

Wadau naombeni mwongozo nikamshauri tajiri yangu (mwekezaji mzawa) ili kazi iendelee mimi na vijana wangu tupate rizik.
Mmeingilia ulaji wa mtu bila kumhakikishia ulaji, hii ndio Tanzania.
 
Mimi ni fundi ujenzi wa kiwango cha kati nina vijana wa kazi 20,

MSAADA
september 2022, mwekezaji Mzawa alipewa eneo la wazi Ununio Beach na mmiliki Halmashauri ya manispaa kinondoni kwa kufuata taratibu zote na kusaini mkataba , nyaraka za risiti nimeziona na malipo ya yalifanyika kwa control number.

Baada ya mimi na vijana wangu kuanza kazi , ujumbe mzito ulifika wa serikali ya mtaa ukiongozwa na Diwani Urio, wakatoa maagizo kusimamisha shughuli zote zinazoendelea , tayari mwekezaji mzawa alikuwa ameisha chimba kisima , kafunga taa za solar sambamba na maombi ya maji na umeme.

Nilimpa taarifa mwekezaji mzawa na akafanya juhudi za kwenda kupata ufafanuzi serikali ya mtaa na kumuona Mh Diwani , akaambiwa lazima awe na kibali.

Mwekezaji mzawa alikwenda Manispaa kwa shida sana alipewa control number ya kulipia Kibali na akalipa kwa wakati na akapewa kabarua ya GO A HEAD ujenzi uendelee, hapo sasa imeisha ingia october.

Ghafla tena Mr Diwani ametia timu kwa nguvu kubwa akiambatana na mgambo na kuamrisha ujenzi usimame mara moja na kutoa notisi ya maadishi , imekuwa changamoto kwangu na vijana wangu, pia mwekezaji
ameisha ingia gharama nyingi sana japo sijui kiasi lakini mazingira yanaonyesha tu.

Sasa wadau eneo ni la Manispaa ya kinondoni na mwekezaji mzawa amelipa gharama zote za awali tena kwa kutumia control number kutoka manispaa ya kinondoni na mkataba kusainiwa , makadilio ya kodi wameisha kubaliana, Mh Diwani Urio anapata wapi nguvu ya kumsimamisha Mwekezaji mzawa na kuwanyima mapato Halmashauri ya manispaa ya kinondoni?

Wadau naombeni mwongozo nikamshauri tajiri yangu (mwekezaji mzawa) ili kazi iendelee mimi na vijana wangu tupate rizik.
Fukuza huyo kichaa! Maccm hayo yana njaa Sana!
 
Mimi ni fundi ujenzi wa kiwango cha kati nina vijana wa kazi 20,

MSAADA
september 2022, mwekezaji Mzawa alipewa eneo la wazi Ununio Beach na mmiliki Halmashauri ya manispaa kinondoni kwa kufuata taratibu zote na kusaini mkataba , nyaraka za risiti nimeziona na malipo ya yalifanyika kwa control number.

Baada ya mimi na vijana wangu kuanza kazi , ujumbe mzito ulifika wa serikali ya mtaa ukiongozwa na Diwani Urio, wakatoa maagizo kusimamisha shughuli zote zinazoendelea , tayari mwekezaji mzawa alikuwa ameisha chimba kisima , kafunga taa za solar sambamba na maombi ya maji na umeme.

Nilimpa taarifa mwekezaji mzawa na akafanya juhudi za kwenda kupata ufafanuzi serikali ya mtaa na kumuona Mh Diwani , akaambiwa lazima awe na kibali.

Mwekezaji mzawa alikwenda Manispaa kwa shida sana alipewa control number ya kulipia Kibali na akalipa kwa wakati na akapewa kabarua ya GO A HEAD ujenzi uendelee, hapo sasa imeisha ingia october.

Ghafla tena Mr Diwani ametia timu kwa nguvu kubwa akiambatana na mgambo na kuamrisha ujenzi usimame mara moja na kutoa notisi ya maadishi , imekuwa changamoto kwangu na vijana wangu, pia mwekezaji
ameisha ingia gharama nyingi sana japo sijui kiasi lakini mazingira yanaonyesha tu.

Sasa wadau eneo ni la Manispaa ya kinondoni na mwekezaji mzawa amelipa gharama zote za awali tena kwa kutumia control number kutoka manispaa ya kinondoni na mkataba kusainiwa , makadilio ya kodi wameisha kubaliana, Mh Diwani Urio anapata wapi nguvu ya kumsimamisha Mwekezaji mzawa na kuwanyima mapato Halmashauri ya manispaa ya kinondoni?

Wadau naombeni mwongozo nikamshauri tajiri yangu (mwekezaji mzawa) ili kazi iendelee mimi na vijana wangu tupate rizik.
Wewe tapeli tu kama matapeli wengine.
Hata taratibu za ujenzi huzifahamu.
Ninyi ndio mafundi Maiko mnaoharibu fani ya ujenzi.
 
Mwekezaji wako ndio huyu ambae amezungusha ukuta kule Palipokuwa panaitwa Patamu Beach?? Na kuvunja vibanda vya wavuvi? Na kuvunja Bar Pendwa ya wajamaika??
 
Mwekezaji wako ndio huyu ambae amezungusha ukuta kule Palipokuwa panaitwa Patamu Beach?? Na kuvunja vibanda vya wavuvi? Na kuvunja Bar Pendwa ya wajamaika??
Hakuna alipovunja lilikuwa pori tu pembeni kuna wakulima wa nyanya ,jirani na PSSSF
 
Wewe tapeli tu kama matapeli wengine.
Hata taratibu za ujenzi huzifahamu.
Ninyi ndio mafundi Maiko mnaoharibu fani ya ujenzi.
Mr Jidu mbona unanitolea maneno makali ? kumbuka nina vijana 20 tumekwama kufanya kazi pia mie ni mbobevu kwenye ujenzi , kuna kuna issue nicheck mie natoa 15%
 
Mr Jidu mbona unanitolea maneno makali ? kumbuka nina vijana 20 tumekwama kufanya kazi pia mie ni mbobevu kwenye ujenzi , kuna kuna issue nicheck mie natoa 15%
Hii fani imeingiliwa na wanasiasa wanaojidai wanaijua fani kuliko tulio katika mfumo rasmi.
-Fundi Maiko hajasajiliwa na CRB
-Fundi Maiko kwa kawaida hana wataalam, zaidi ya uzoefu binafsi
-Fundi Maiko hana ofisi maalum
-Fundi Maiko halipi kodi za nchi, VAT, NSSF. SDL
-Fundi Maiko wafanya kazi hawana Bima
-Fundi Maiko hawajibiki kwa lolote kazi ikiharibika(hakuna retention ya malipo)

Fanya kazi na Fundi Maiko kwa hasara yako mwenyewe, lakini wanasiasa wanawafurahia sana maana "wanapiga michuzi" kwa kwenda mbele.

Na kwakweli sioni jinsi mwanasiasa asiye mtendaji kama Diwani anaweza kuingilia mchakato wa ujenzi, hata kama ni ya mtu binafsi.
Diwani hana mamaka yoyote kusimamia ujenzi zaidi ya kutoa taarifa kwa vyombo husika kwenye Halmashauri.
 
Notice inasemaje au kazuia kwa sababu gani? Maana mwanzo ulisema ni kibali na kibali mmeshapata hapo ndio sijaelewa isije ikawa ni mgongano wa kimaslai na tajiri yako nae hataki kujiongeza

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mh Diwani yeye anadai hana taarifa na kinachoendelea pale, kuhusu kibali Tajiri ameisha lipia na stakabathi nimeiona ila building permit hawajampatia ila manispaa imempa go a head (enginner)
 
Hii fani imeingiliwa na wanasiasa wanaojidai wanaijua fani kuliko tulio katika mfumo rasmi.
-Fundi Maiko hajasajiliwa na CRB
-Fundi Maiko kwa kawaida hana wataalam, zaidi ya uzoefu binafsi
-Fundi Maiko hana ofisi maalum
-Fundi Maiko halipi kodi za nchi, VAT, NSSF. SDL
-Fundi Maiko wafanya kazi hawana Bima
-Fundi Maiko hawajibiki kwa lolote kazi ikiharibika(hakuna retention ya malipo)

Fanuya kazi na Fundi Maiko kwa hasara yako mwenyewe, lakini wanasiasa wanawafurahia sana maana "wanapiga michuzi" kwa kwenda mbele
Mr jidu uko sahihi kabisa na huo mtirirko wako , ebu tuwe wakweli yaaani hata vibanda vya makuti , choo na nyumba ya chini 2 to 4 bedrooms niwe registered kweli? huu sasa UONEVU.
 
Back
Top Bottom