Halmashauri ya Jiji Mbeya nawapongeza kwa uamuzi wa kujenga City Mall

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
20190105_085045_001.jpg

Hatimaye baada ya takriban miaka 10 iliyopita Jiji la Mbeya limeamua kujenga City Mall ya kisasa pale sehemu inaitwa "Uhindini".

Sehemu hii katikati ya Jiji kulikuwa na soko na vibanda vya biashara vilivyoteketea kwa moto. Haya nimaendeleo chanya.

Hata hivyo kero ya kuingia mjini Mbeya toka aidha Mbalizi au Uyole inaendelea kuwa kero kubwa sana.

Jiji halina mipango mbadala, hata kuboresha side roads na service roads (ya main roads) hakuna maendeleo hayo.

Hata ile barabara ya mchepuko toka Uyole hadi Mbalizi, iliyoahidiwa na Waziri Kamwelwe inaelekea ilikuwa ahadi tu.

Jiji lazima liwe na mipango yake mbadala kuondoa kero hii.
 
View attachment 987642
Hatimaye baada ya takriban miaka 10 iliyopita Jiji la Mbeya limeamua kujenga City Mall ya kisasa pale sehemu inaitwa "Uhindini".
Sehemu hii katikati ya Jiji kulikuwa na soko na vibanda vya biashara vilivyoteketea kwa moto.
Haya nimaendeleo chanya.

Hata hivyo kero ya kuingia mjini Mbeya toka aidha Mbalizi au Uyole inaendelea kuwa kero kubwa sana.
Jiji halina mipango mbadala, hata kuboresha side roads na service roads(ya main roads) hakuna maendeleo hayo.

Hata ile barabara ya mchepuko toka Uyole hadi Mbalizi, iliyoahidiwa na waziri Kamwelwe inaelekea ilikuwa ahadi tu.

Jiji lazima liwe na mipango yake mbadala kuondoa kero hii.

Aliendika hii tender anatakiwa atafutwe na ahojiwe uwezo wake, Anglia hio para ya kwanza tu jinsi ilivyovunjwa....

Anyway, congrats kwa uamuzi wa kujenga city mall.
 
View attachment 987642
Hatimaye baada ya takriban miaka 10 iliyopita Jiji la Mbeya limeamua kujenga City Mall ya kisasa pale sehemu inaitwa "Uhindini".
Sehemu hii katikati ya Jiji kulikuwa na soko na vibanda vya biashara vilivyoteketea kwa moto.
Haya nimaendeleo chanya.

Hata hivyo kero ya kuingia mjini Mbeya toka aidha Mbalizi au Uyole inaendelea kuwa kero kubwa sana.
Jiji halina mipango mbadala, hata kuboresha side roads na service roads(ya main roads) hakuna maendeleo hayo.

Hata ile barabara ya mchepuko toka Uyole hadi Mbalizi, iliyoahidiwa na waziri Kamwelwe inaelekea ilikuwa ahadi tu.

Jiji lazima liwe na mipango yake mbadala kuondoa kero hii.
Halitaungua tena hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanajenga malls kwa sifasifa na kuigana. Kiutamaduni malls zinahitaji parking kubwa sana. Na huwa hazikai city centre. Ni matumizi mabaya ya eneo bora la CBD. Hapo walitakiwa kujenga majengo ya ofisi yenye maduka tu chini. Soko la Mwanjelwa na Nanenane hawajajaza wanakimbilia mambo mengine eti nao waonekane wana Malls. Hii ndiyo miradi ya waafrica .Wakiona mwenzao kajenga Mall na wenyewe wanajenga, mwenzao akijenga Daraja nae atajenga hata kama hakuna pa kuvuka.
 
Back
Top Bottom