ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 422
- 675
Jamani tunaomba muwalipe watumishi stahiki zao hasa walimu hata kama hawana nguvu za kuwadai kwa unyonge wao.Dodoma nyie mmeongoza kwa ukusanyaji wa mapato,hiyo yote ni nguvu ya watumishi na juhudi zao,Mh rais alishasema hataki madeni ya malimbikizo yasiyo na kichwa wala miguu...lipeni fedha za watu bwana.......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!