Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,228
Ukitoa dai risiti
Patageuka dampo la mateja,vibaka na vyangu!Tunatakiwa kuongeza mapato na hcho nı chanzo kimojawapo.
Hio tiketi ni feki.Inakera sana, ukizingatia stand ilivo mbovu kias kile. Kwanza huwa sielewi tafsiri iliyoandkwa kwenye ile tiketi: "Ushuru wa kusindikiza abiria" hiv ina maana gani??
Inakera sana, ukizingatia stand ilivo mbovu kias kile. Kwanza huwa sielewi tafsiri iliyoandkwa kwenye ile tiketi: "Ushuru wa kusindikiza abiria" hiv ina maana gani??