Hii halmashauri inaonekana ni mpya sana wanadai inamiaka miwili (2) ila mambo inayoyafanya niabu tupu, nilifika pale kuhitaji huduma kuanzia getini kwa mlinzi mpaka wote wanaishi kama miungu watu.
Nimefika pale saa mbili asubuhi mlinzi ananiambia watoa huduma wameenda kunywa chai, nimekaa mpaka saa nne hawajarudi wamerudi saa sita, naomba kumuona Mkurugenzi naambiwa anasiku zake za kumuona maana siwezi kumuona mtu mkubwa hivyo kirahisi.
Nikajiuliza hivi kazi yake nini kama hawezi kuonana na wananchi wakati naomba kumuona Mkuu wa Idara mwingine naambiwa kwani hujui ni mda wa lunch au subiri saa nane, nimesubiri saa nane wanarudi saa tisa nakupanda magari, nikiuliza majibu hujui muda wa kazi, sasa najiuliza hivi wananchi wanahudumiwajwe maana nimefika hapo nakutana na hali hiyo mara kadhaa.
Viongozi futilieni ile halmashauri maana bado changa.
Nimefika pale saa mbili asubuhi mlinzi ananiambia watoa huduma wameenda kunywa chai, nimekaa mpaka saa nne hawajarudi wamerudi saa sita, naomba kumuona Mkurugenzi naambiwa anasiku zake za kumuona maana siwezi kumuona mtu mkubwa hivyo kirahisi.
Nikajiuliza hivi kazi yake nini kama hawezi kuonana na wananchi wakati naomba kumuona Mkuu wa Idara mwingine naambiwa kwani hujui ni mda wa lunch au subiri saa nane, nimesubiri saa nane wanarudi saa tisa nakupanda magari, nikiuliza majibu hujui muda wa kazi, sasa najiuliza hivi wananchi wanahudumiwajwe maana nimefika hapo nakutana na hali hiyo mara kadhaa.
Viongozi futilieni ile halmashauri maana bado changa.