kiamangwana
Senior Member
- Feb 28, 2015
- 175
- 89
Ni wapi uliona ccm walijenga ofisi yao zaidi ya ofisi za mfumo wa chama kimoja?ujinga ni kama ugonjwa ukipata tiba unapona,CHADEMA haina polis,takukuru,usalama taifa wala mahakama,vyote hivyo viko chini ya ccm,ukiona RAIA Y3YOTE anavunja sheria na haguswi na mamlaka jua dola hiyo ni mfu,ikiwa wewe hujui hilo huo ni ujinga wako usituambukize werevu,malinzi akamatwe aachwe lema,kisa ni cdm