Halmashauri chini ya CHADEMA zaongoza kwa rushwa

Kazi ya madiwani wa chadema ni nini Arusha?
Kumbuka utawala huu haufuati sheria watawala wanawezakufanya chochote wanavyoona inafaa. Hao madiwani unaowasema walishawahi kulalamikia kuhusu kupunguzwa posho zao na kunyang'anywa stahiki zao muhimu lkn uvccm mkasema ooh wapiga deal hao .
Leo hii baadhi ya miradi wanapewa wazabuni pasipo kufuata taratibu na sheria na hiki ndicho chanzo kikuu cha rushwa kwenye hali mashauri huku wakurugenzi wenu wenye kadi ya kijani wakiwa kipaumbele kusapoti hali hiyo .Ila tatizo likitokea huwa mnajitoa ufahamu na kukituhumu chadema
 
Kwa mjibu wa tume ya kupambana na rushwa (Takukuru) mkoani Arusha imetangaza kuwa halimashauri mkoani humo zinaongoza kwa rushwa nchini.

Hili ni jambo la kusikitisha sana hasa ukizingatia kuwa halimashauri hizi ziko chini ya chama kikuu cha upinzani nchini kinachojinasibu kupambana na rushwa na ufisadi.

Ikumbukwe chadema imekuwa ikitawala Arusha kwa miaka 10 sasa kupitia mbunge na madiwani wengi lakini kumbe ni wala rushwa watupu.


TAKUKURU yazitaja Halmashauri za Arusha kuongoza kwa Rushwa
TAKUKURU yazitaja Halmashauri za Arusha kuongoza kwa Rushwa – Millardayo.com

My take.

Mara zote nimekuwa nikisema ni heri zimwi likujualo (ccm) haliwezi kukula na kukumaliza kuliko zimwi jipya (chadema) ambalo ni wala rushwa tupu na hawana huruma na mtu
Halmashauri inaongozwa na mkurugenzi chini ya ushauri wa baraza la madiwani. Mkurugenzi anateuliwa na Raisi, watumishi wa halmashauri ni watumishi wa serikali inayotawala. Kama Arusha Kuna rushwa ni suala la sehemu na sio chama. Lema na genge lake hawana mamlaka Arusha. Yeye na wahuni wenzake ni ni wawakilishi tu. Kichwa cha Gambo na uongozi wake.
 
Kumbuka utawala huu haufuati sheria watawala wanawezakufanya chochote wanavyoona inafaa. Hao madiwani unaowasema walishawahi kulalamikia kuhusu kupunguzwa posho zao na kunyang'anywa stahiki zao muhimu lkn uvccm mkasema ooh wapiga deal hao .
Leo hii baadhi ya miradi wanapewa wazabuni pasipo kufuata taratibu na sheria na hiki ndicho chanzo kikuu cha rushwa kwenye hali mashauri huku wakurugenzi wenu wenye kadi ya kijani wakiwa kipaumbele kusapoti hali hiyo .Ila tatizo likitokea huwa mnajitoa ufahamu na kukituhumu chadema
Mbona kwenye halmashali zilizochini ya ccm hamna rushwa??
 
Kwa mjibu wa tume ya kupambana na rushwa (Takukuru) mkoani Arusha imetangaza kuwa halimashauri mkoani humo zinaongoza kwa rushwa nchini.

Hili ni jambo la kusikitisha sana hasa ukizingatia kuwa halimashauri hizi ziko chini ya chama kikuu cha upinzani nchini kinachojinasibu kupambana na rushwa na ufisadi.

Ikumbukwe chadema imekuwa ikitawala Arusha kwa miaka 10 sasa kupitia mbunge na madiwani wengi lakini kumbe ni wala rushwa watupu.


TAKUKURU yazitaja Halmashauri za Arusha kuongoza kwa Rushwa
TAKUKURU yazitaja Halmashauri za Arusha kuongoza kwa Rushwa – Millardayo.com

My take.

Mara zote nimekuwa nikisema ni heri zimwi likujualo (ccm) haliwezi kukula na kukumaliza kuliko zimwi jipya (chadema) ambalo ni wala rushwa tupu na hawana huruma na mtu


Najua two wrongs can not make it right...ila CCM tangu 1961 inafanya grand corruption on this country kwa zaidi ya miaka 58...

Ni clear kabisa hii ni hujuma kwa hizi Halmashauri kama smear campaign...
 
Mbona kwenye halmashali zilizochini ya ccm hamna rushwa??
Unauhakika kiasi gani kama halmashauri zinazoongozwa na ccm hakuna rushwa. Kabla ya CHADEMA kuongoza halmashauri hizo kuhusu rushwa ilikuwa ni kawaida maana ccm na rushwa ni sawa na ngozi na mwili haviachani. Mfano halisi ununuzi wa ndege za abiria , ujenzi wa standard gauge , airport chato na E-pasport umaweza kuulezea zabuni zilivopatikana? Siku mkija kuambiwa kuwa mchakato umetawaliwa na rushwa mtawasingizia CHADEMA? Stretch your uvccm
 
Unauhakika kiasi gani kama halmashauri zinazoongozwa na ccm hakuna rushwa. Kabla ya CHADEMA kuongoza halmashauri hizo kuhusu rushwa ilikuwa ni kawaida maana ccm na rushwa ni sawa na ngozi na mwili haviachani. Mfano halisi ununuzi wa ndege za abiria , ujenzi wa standard gauge , airport chato na E-pasport umaweza kuulezea zabuni zilivopatikana? Siku mkija kuambiwa kuwa mchakato umetawaliwa na rushwa mtawasingizia CHADEMA? Stretch your uvccm
Kwa hiyo na chadema inaiga rushwa za ccm?
 
Hapa ndio great thinker wa ufipa amemwaga pointi sasa.

Kwa hiyo na chadema imeanza kuiga ufisadi wa ccm wa miaka 58!!!!!


Ndio maana nikaandika angalizo mwanzoni kabisa.."Two wrongs can not make it right"....mzee shule ulienda kusomea ujinga?

Nini umuhimu wa hilo angalizo langu?Hata hujui....masikini!

CCM imekosa maarifa kabisa!
 
Hutawaona hapa mkuu!!

Kuna mmoja kajitoa ufahamu kaja kurekebisha spelling za neno halmashauri!!! Teh teh teh teh teh....

BTW, agenda ya ufisadi ilishafutwa chadema baada ya mzee mammvi kuhamia huko, kwahiyo usishangae jamaa kuwa wezi na wala rushwa.
Kwanini Magufuli anapopambana na rushwa huwa anachagua maeneo?
 
Ndio maana nikaandika angalizo mwanzoni kabisa.."Two wrongs can not make it right"....mzee shule ulienda kusomea ujinga?

Nini umuhimu wa hilo angalizo langu?Hata hujui....masikini!

CCM imekosa maarifa kabisa!
Ccm wala rushwa ,Chadema nao wala rushwa tukimbilie wapi sasa??
 
Kwa mjibu wa tume ya kupambana na rushwa (Takukuru) mkoani Arusha imetangaza kuwa halimashauri mkoani humo zinaongoza kwa rushwa nchini.

Hili ni jambo la kusikitisha sana hasa ukizingatia kuwa halimashauri hizi ziko chini ya chama kikuu cha upinzani nchini kinachojinasibu kupambana na rushwa na ufisadi.

Ikumbukwe chadema imekuwa ikitawala Arusha kwa miaka 10 sasa kupitia mbunge na madiwani wengi lakini kumbe ni wala rushwa watupu.


TAKUKURU yazitaja Halmashauri za Arusha kuongoza kwa Rushwa
TAKUKURU yazitaja Halmashauri za Arusha kuongoza kwa Rushwa – Millardayo.com

My take.

Mara zote nimekuwa nikisema ni heri zimwi likujualo (ccm) haliwezi kukula na kukumaliza kuliko zimwi jipya (chadema) ambalo ni wala rushwa tupu na hawana huruma na mtu
CHADEMA ni janga kwa Taifa la Tanzania
 
Ccm wala rushwa ,Chadema nao wala rushwa tukimbilie wapi sasa??


Elitwege

Hii habari ipo subotaged ili kuwaonesha wananchi Chadema ndio chama cha kula rushwa..ni muendelezo wa maonevu ya CCM!

It does not need rocket science kung'amua!

Tatizo hamuelewi Arusha sio kama Simiyu!

Siku mkija kugundua kua siasa za vurumai ni za kizamani it would be too late tayari...

Na pia kuna mziki wa 26/4,mmeshajipanga jinsi ya kuupangua siku hiyo au bado mnacheza makidamakida?

Siasa ni sayansi,someone is about to be schooled really well!
 
Elitwege

Hii habari ipo subotaged ili kuwaonesha wananchi Chadema ndio chama cha kula rushwa..ni muendelezo wa maonevu ya CCM!

It does not need rocket science kung'amua!

Tatizo hamuelewi Arusha sio kama Simiyu!

Siku mkija kugundua kua siasa za vurumai ni za kizamani it would be too late tayari...

Na pia kuna mziki wa 26/4,mmeshajipanga jinsi ya kuupangua siku hiyo au bado mnacheza makidamakida?

Siasa ni sayansi,someone is about to be schooled really well!
Hii inaondoa ukweli kwamba chadema ni wala rushwa huko Arusha??
 
Back
Top Bottom