Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,812
- Thread starter
- #21
Topic hapa ni kula rushwa kwa chademaKwa akili yako tu jaribu kutafakari jambo hili dogo,
1. Mwalimu wa shahada ya kwanza (Digrii ya somo la biashara au BEDCOM) kutolewa sekondari na kupelekwa kufundisha shule ya msingi katika somo la "Haiba na michezo". Hivi hapo ni kuboresha Elimu au ni kuipeleka ICU?