Halima Mdee yuko wapi?

Halima Mdee yuko wapi?

Dah tukianza kuuliza humu waliopotea ndani ya UKAWA hakika tutajaza server. Baada ya uchaguzi hakika wamepoteana sana. Magufuli kawaficha mfukoni



Hahahahahahahaa wachwara bwana

Sasa magufuli ana mfuko wa kutosha kuwaweka wote hao??

Embu toa uchwara wako hapa maana nyie wote wachwara
 
Dah tukianza kuuliza humu waliopotea ndani ya UKAWA hakika tutajaza server. Baada ya uchaguzi hakika wamepoteana sana. Magufuli kawaficha mfukoni
mkuu wangeruhusiwa kama wanavyoruhusiwa upande wa pili nadhani haya unayo yasema hapa ungeyaficha.mwanasiasa husikika vizuri akiwa katka harakati zake za kisiasa,sasa wamezuiliwa kufanya chochote kinacho itwa siasa eti muda wa siasa umepita wametiii bado tunaulizana eti wako wapi?.yani unapambana na adui yako uliye mfunga mikono na miguuu alafu unapo mpiga bila yeye kujibu unahamaki na kuhoji kwanini hajibu mapigo?.
 
Kama umefungiwa kwenye vyumba huko lumumba uwezi kujua yupo wapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom