Halima Mdee: BAWACHA Tumepanga kuingia msituni

Halima Mdee: BAWACHA Tumepanga kuingia msituni

utaifakwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
14,193
Reaction score
2,815
Mbunge wa Kawe Halima James Mdee amesema kuwa chama chake na BAWACHA wanajiandaa kuingia msituni wanaingia msitu kwa msitu, pori kwa pori na kijiji kwa kijiji ili kwa muda wa Miezi miwili ili kuhakikisha CHADEMA inasonga mbele na kuenea Tanzania nzima ili kuitoa CCM madarakani.

Amesema kuwa wanawake na vijana wanamuamini hivyo atawaongoza Vizuri na hatawaangusha na wameshafanya kikao tayari na kupanga ratiba ya ziara ili kumkomboa mtanzania.

Chanzo: Habari ITV
 
Naam! Amesema wamejipanga kukata msitu pori kwa pori kwa miezi miwili mfululizo nimeipenda hiyo Halima Mdee ni jembe
 
Kasema Sii kupigana vita wewe akili ndogo ya ccm bali KUPATA WANACHAMA WAPYA WA RIKA ZOTE!wenzako wanakunywa chai kikombe buku 10 dodoma, wewe unalipwa buku 7 kutwa nzima
 
Mbunge wa kawe halima james mdee amesema kuwa chama chake na bawacha wanajiandaa kuingia msituni ili kuitoa ccm madarakani. Amesema kuwa wanawake na vijana wanamuamini hivyo atawaongoza kuinia msituni ili kumkomboa mtanzania.

source: habari itv

hajasema kuitoa ccm madarakani. we mtu vipi unasema uongo wazi wazi
 
Siku ambayo maskini wa nchi hii atakapochoka na upotoshaji wa viongozi wa ccm walai nchi hii wataiona chungu kwa namna yeyote ile kwani maumivu ya kunyonywa ni makali mno kuliko maumivu ya kidonda
 
Mbunge wa kawe halima james mdee amesema kuwa chama chake na bawacha wanajiandaa kuingia msituni ili kuitoa CCM madarakani.

Amesema kuwa wanawake na vijana wanamuamini hivyo atawaongoza kuinia msituni ili kumkomboa mtanzania.

source: Habari ITV

Umeongeza uongo haraka ya nini! Hajasema kuitoa ccm madarakani. Tulieni Chadema ndo kipenzi chetu kwa sasa.
 
kwa sisi tuliotazama hiyo taarifa, tunakuona mleta mada kama kituko tu
 
Misitu iko ya aina nyingi, hawa BAWACHA wanataka kuingia kwenye misitu yao au?

kwani kapteni komber hajawahi kusema maneno ya ufanano huu?

poleni ccyenu/ccyem.
 
Miccm haina haja ya kuingia msituni ,humu humu mitaani tu munatosha kabisa haswa kwa ukame huu tulionao mbona very ize ! Na makali haya ya maisha ivi bora ufe kuliko kuishi ila usife peke yako ondoka na mtu kama wapemba ! mpaka leo CCM haitaki pemba ,wanasema wapemba si watu !
 
Mtoa mada umekimbizwaa na nani mpaka uandike remix ya taarifa,

Au siku hizi mnashindana kupewa buku 7 na akaunti zenu Uswis
 
... Mi Mwenyewe Niko Tayari Kwenda Msituni Hata Kesho
 
Back
Top Bottom