Mjinga ni wewe
jingalao huko Lumumba unayejiaminisha Kwamba Katibu Mkuu wa chama chako naye ni Kiongozi wa Serikali.
Elewa na zingatia kwamba huyo si muajiri na wanaokosoa "ujinga" huo wanazo sababu za msingi zinazojiegemeza kwenye sheria za Utumishi wa Umma.