Jinga laoUjinga mwingine!!THE so called WASOMI wanaenda PIGIA GOTI KATIBU MKUU wa CHAMA kwa masuala yanayosimamiwa na SHERIA za UTUMISHI wa UMMA!! kiukweli ELIMU ya Mkoloni ililenga kutufanya watumwa na vibarua tu!!
Kama wanavyofanya wanasiasa wengine nchini Tanzania Bi Halima ameingia kwenye kundi la wanasiasa wanaodhalilisha taaluma ya udaktari nchini.Amefanya hivi huku akisahau kuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Mashinji ni mmoja na mwanajumuia wa MAT ambao amewaita wajinga !!
Ombi langu kwake ni moja tu ..aombe msamaha kwa kudhalilisha kada ya madaktari nchini.
Katibu mkuu wa Chadema atolee ufafanuzi kauli ya mwanachama wake kuhusu matusi haya kwa koligi wenzake.
Naamini ipo siku Halima mdee atatamani kutibiwa na madaktari wajinga wa Tanzania.
Ulichagua jina linalofanana na ujinga ulionao! sasa hapo Mdee kakosea nini? hayo si mmeyatengeneza wenyewe ccm! utakuta diwani kaishia std 7 lakini anaitwa mheshimiwa na mtumishi wa Halmashauri mwenye taaluma huu kama sio upumbavu ni kitu gani? Kisa diwani anakaa vikao pengine vya kupendekeza mtumishi kufukuzwa kazi! CCM waache ujinga hatuwezi kupiga hatua kwa mfumo huu, ningekuwa mimi hawa ma-RC Na Ma-DC vyeo vyote ningefuta sabb ni mfumo wa zama za mkoloni na walitumika sana kupeleka umbea kwa mtawalaUjinga mwingine!!THE so called WASOMI wanaenda PIGIA GOTI KATIBU MKUU wa CHAMA kwa masuala yanayosimamiwa na SHERIA za UTUMISHI wa UMMA!! kiukweli ELIMU ya Mkoloni ililenga kutufanya watumwa na vibarua tu!!-Ametweet Halima Mdee
Kama wanavyofanya wanasiasa wengine nchini Tanzania Bi Halima ameingia kwenye kundi la wanasiasa wanaodhalilisha taaluma ya udaktari nchini.Amefanya hivi huku akisahau kuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Mashinji ni mmoja na mwanajumuia wa MAT ambao amewaita wajinga !!
Ombi langu kwake ni moja tu ..aombe msamaha kwa kudhalilisha kada ya madaktari nchini.
Katibu mkuu wa Chadema atolee ufafanuzi kauli ya mwanachama wake kuhusu matusi haya kwa koligi wenzake.
Naamini ipo siku Halima mdee atatamani kutibiwa na madaktari wajinga wa Tanzania.
Angetukana na hilo jinga lenu mnaloliabudu mi kwangu ndio ingekuwa burudani kabisaaaaUjinga mwingine!!THE so called WASOMI wanaenda PIGIA GOTI KATIBU MKUU wa CHAMA kwa masuala yanayosimamiwa na SHERIA za UTUMISHI wa UMMA!! kiukweli ELIMU ya Mkoloni ililenga kutufanya watumwa na vibarua tu!!-Ametweet Halima Mdee
Kama wanavyofanya wanasiasa wengine nchini Tanzania Bi Halima ameingia kwenye kundi la wanasiasa wanaodhalilisha taaluma ya udaktari nchini.Amefanya hivi huku akisahau kuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Mashinji ni mmoja na mwanajumuia wa MAT ambao amewaita wajinga !!
Ombi langu kwake ni moja tu ..aombe msamaha kwa kudhalilisha kada ya madaktari nchini.
Katibu mkuu wa Chadema atolee ufafanuzi kauli ya mwanachama wake kuhusu matusi haya kwa koligi wenzake na yeye mwenyewe.
Chadema watakuwa ni zaidi ya wajinga kuruhusu mmoja wa madaktari wajinga kuwa katibu mkuu wa Chama chao!
Naamini ipo siku Halima mdee atatamani kutibiwa na madaktari wajinga wa Tanzania.
Kwa hiyo kuanzia sasa tumuite katibu wa Chadema ambaye ni member wa MAT kuwa ni mmoja wa wajinga aliowataja halima mdee?Yaani kwa tafsiri nyingine chadema inaongozwa na form six failure pamoja na daktari mjinga.We mjinga kweli! Unaulizwa pamoja na kwamba hakuna ushahidi wapi hayo matamshi yanaashiria tusi?
Umenena kweli...! Afu sie wa Jimbo la kawe tunajuta kuweka huyu bi dada,katulostisha mno....,next time kurudi bungeni labda viti maalumu.Ujinga mwingine!!THE so called WASOMI wanaenda PIGIA GOTI KATIBU MKUU wa CHAMA kwa masuala yanayosimamiwa na SHERIA za UTUMISHI wa UMMA!! kiukweli ELIMU ya Mkoloni ililenga kutufanya watumwa na vibarua tu!!-Ametweet Halima Mdee
Kama wanavyofanya wanasiasa wengine nchini Tanzania Bi Halima ameingia kwenye kundi la wanasiasa wanaodhalilisha taaluma ya udaktari nchini.Amefanya hivi huku akisahau kuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Mashinji ni mmoja na mwanajumuia wa MAT ambao amewaita wajinga !!
Ombi langu kwake ni moja tu ..aombe msamaha kwa kudhalilisha kada ya madaktari nchini.
Katibu mkuu wa Chadema atolee ufafanuzi kauli ya mwanachama wake kuhusu matusi haya kwa koligi wenzake na yeye mwenyewe.
Chadema watakuwa ni zaidi ya wajinga kuruhusu mmoja wa madaktari wajinga kuwa katibu mkuu wa Chama chao!
Naamini ipo siku Halima mdee atatamani kutibiwa na madaktari wajinga wa Tanzania.
Sifa ya mashinji ni "Mashinji"Kwa hiyo sifa nyingine ya Mashinji ni mjinga?
Hapana Wanaokufanya uwe jingaKama Bi Halima?
Mnaharibu maudhui ya JF!Kama Bi Halima?