jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,034
- 28,201
Ujinga mwingine!!THE so called WASOMI wanaenda PIGIA GOTI KATIBU MKUU wa CHAMA kwa masuala yanayosimamiwa na SHERIA za UTUMISHI wa UMMA!! kiukweli ELIMU ya Mkoloni ililenga kutufanya watumwa na vibarua tu!!-Ametweet Halima Mdee
Kama wanavyofanya wanasiasa wengine nchini Tanzania Bi Halima ameingia kwenye kundi la wanasiasa wanaodhalilisha taaluma ya udaktari nchini.Amefanya hivi huku akisahau kuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Mashinji ni mmoja na mwanajumuia wa MAT ambao amewaita wajinga !!
Ombi langu kwake ni moja tu ..aombe msamaha kwa kudhalilisha kada ya madaktari nchini.
Katibu mkuu wa Chadema atolee ufafanuzi kauli ya mwanachama wake kuhusu matusi haya kwa koligi wenzake na yeye mwenyewe.
Chadema watakuwa ni zaidi ya wajinga kuruhusu mmoja wa madaktari wajinga kuwa katibu mkuu wa Chama chao!
Naamini ipo siku Halima mdee atatamani kutibiwa na madaktari wajinga wa Tanzania.
Kama wanavyofanya wanasiasa wengine nchini Tanzania Bi Halima ameingia kwenye kundi la wanasiasa wanaodhalilisha taaluma ya udaktari nchini.Amefanya hivi huku akisahau kuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Mashinji ni mmoja na mwanajumuia wa MAT ambao amewaita wajinga !!
Ombi langu kwake ni moja tu ..aombe msamaha kwa kudhalilisha kada ya madaktari nchini.
Katibu mkuu wa Chadema atolee ufafanuzi kauli ya mwanachama wake kuhusu matusi haya kwa koligi wenzake na yeye mwenyewe.
Chadema watakuwa ni zaidi ya wajinga kuruhusu mmoja wa madaktari wajinga kuwa katibu mkuu wa Chama chao!
Naamini ipo siku Halima mdee atatamani kutibiwa na madaktari wajinga wa Tanzania.