MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,159
- 6,574
anatakiwa ajue kusoma tu na kuandika mkuu..hivi dc anatakiwa awe na qualification zipi? Na hizi nafasi hutangazwa wapi
anatakiwa ajue kusoma tu na kuandika mkuu..hivi dc anatakiwa awe na qualification zipi? Na hizi nafasi hutangazwa wapi
Huyu mama ni jembe haswa kwenye kazi, acha tu awe juu!Hivi unajua kama mwanamama huyo anatawala wilaya nne za Kilosa,Morogoro manispaa,Morogoro Vijijini na Mvomero?
Toka JK apangue wakuu wa wilaya mpaka sasa bado anayezitawala wilaya hizo ni huyo mwanamama.
Je, hakuna wengine wa kumsaidia? Kwanini iwe yeye tu?