chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
3% tu of graduates wanapata kazi
Ahsante kwa kujibu mapema, nilikuwa najaribu ku-research kama kweli wilaya hii ipo, maana you never know wilaya na mikoa inavyoongezwa siku hizi. Sie tulishazoea ileee yetu 20 na visiwani 5. Lakini sasa sijui imefikia mingapi.
Mwanamke na Mwanaume
Nisiposaini Wabunge wa CCM hawatanielewa .........!!!!
Hakuna wilaya inayoitwa morogoro vijijini.
hivi dc anatakiwa awe na qualification zipi? Na hizi nafasi hutangazwa wapi
Hizi kauli tutazikumbuka milele aseeKikwete amalize muda wake tu tumemchoka
Ni kweli aisee, hata jiwe anaweza kukumbukwa piaHizi kauli tutazikumbuka milele asee
Nimeamini humuhimu wa mtu huonekana pale asipokuwepo.
Mkuu nashawishika kwa asilimia nyingi kuamini hivyoNi kweli aisee, hata jiwe anaweza kukumbukwa pia