measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,418
Hospitali ya mkoa Ruvuma wodi ya wajawazito uwezo wake ni vitanda 70, kuna kina mama zaidi ya 200 wanalala nje, ndani hapatoshi na mvua ikinyesha wananyeshewa, jiko dogo wanapika nje, wengi hutokea jimbo la Namtumbo kwani hakuna huduma ya dharura kwa wajawazito... Source TBC News saa 2. My take: vipaumbele ni vipi kama twaweza kuadhimisha miaka 50 ya uhuru kwa pesa nyingi huku tukishindwa kujali huduma muhimu? Viongozi wetu wana mawazo gani ili kuboresha huduma za kijamii?