chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Wakuu wapo Rukwa huko wanazomewa hawajali kama wanahitaji kuwa maofisini. Ukifanya kazi inaonekana siyo mpaka uende majukwaani kuwambia nimefanya. Kivuko kife ndo watarudi mjini haraka ?
bongo eheee bongo dalasalamu utaria ria ria ria ria weeee ndani ya daresalamu...ni wimbo profesa j
enheee ikawaje sasa alisemaje kuhusiana na hii adha..