Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!