Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,479
- 5,224
Ukosefu wa mafuta (sio uhaba), ukosefu wa umeme, ukosefu wa ajira, tofauti kubwa ya kipato kati masikini na matajiri na ugumu wa maisha kwa ujumla ni vitu vinavyopelekea hali ya usalama wa taifa letu kuwa hatarini.
Naona kabisa kuna siku watu wataingia mitaani, machafuko makubwa yatatokea na huenda yakamn'goa raisi na serikali yake madarakani.
Kwakweli hali ya usalama wa taifa letu ni mbaya na inatisha.
Naona kabisa kuna siku watu wataingia mitaani, machafuko makubwa yatatokea na huenda yakamn'goa raisi na serikali yake madarakani.
Kwakweli hali ya usalama wa taifa letu ni mbaya na inatisha.