Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,264
Utashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu wa 2024?
Utashiriki kama mgombea au mpiga kura?
Kama hautashiriki sababu gani za msingi zitakufanya usishiriki?
Tukumbuke serikali ya mitaa ndio serikali iliyo karibu yetu zaidi na inayopaswa kuwa msikilizaji kero na mdau namba moja wa maendeleo. Sio tu kwenda kupewa barua ya utambulisho.
Utashiriki kama mgombea au mpiga kura?
Kama hautashiriki sababu gani za msingi zitakufanya usishiriki?
Tukumbuke serikali ya mitaa ndio serikali iliyo karibu yetu zaidi na inayopaswa kuwa msikilizaji kero na mdau namba moja wa maendeleo. Sio tu kwenda kupewa barua ya utambulisho.