Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,502
- 341
hv wewe upo nchi gani? Kuna uchaguzi wa diwani kata ya kirumba.kampeni zilipamba moto utazania kampezi za urais.
kuuliza si ujinga..kwan we wa nch gan?
hv wewe upo nchi gani? Kuna uchaguzi wa diwani kata ya kirumba.kampeni zilipamba moto utazania kampezi za urais.
Duh!!!
Mkuu weee rudi zako kwa akina vivian, amyner, preta, husninyo nk! Kuleeee kwa mapenzi na kujamiana!!
Hiyo ni dhana mufilisi kwa taarifa yako kama upo tayari kuipokea.Sasa hivi polisi na walimu waliosoma ni wengi kuliko unavyodhani sema we unawachukia tu Polisi na walimu lakini si kusema waliofeli ndiyo wapo huko.WApo waliosomeshwa na baba zao,mama zao,kaka zao,shangazi zao hata walezi wao tena hadi kufikia elimu unayohisi inafaa kwa kazi hiyo ya Polisi na ualimu inawezekana nawe umefundishwa na mwalimu huyohuyo unayedai alifeli acha dharau Bwana mdogo.Ukikamatwa na polisi unakuwa mdogo kama piritoni na ulipofundishwa na mwalimu aliyefeli ukiwa darasani ulitulia kama maji mtungini kumsikiliza aliyefeli.Nimekuchukia sana kwa kudharau kazi za watu.Kila nikifikiria Polisi wetu hua namkumbuka sana Rafiki yangu Kamanda Samson Mwigamba na ule Waraka wake.
Nina wasiwasi kama hata hua wanausomaga,
"Kimbilio la Waliofeli ni Ualimu Na Upolisi na Ualimu"