Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Polisi ni wengi kuzidi hata idadi ya wapiga kura na wametanda kila mahala.Hali hii imeathiri hata muitikio wa wapiga kura.Mpaka sasa watu ni wachache sana kwenye vituo vya kupigia kura.Haijulikani kuna nini nyuma ya pazia juu ya uwepo wa askari wengi kiasi hiki.
Tutaendelea kuhabarishana zaidi.
Tutaendelea kuhabarishana zaidi.