Wap huko?Line yetu mimaji full kumwagika 24/7.
Hapa Mito ya Baraka.Wap huko?
Huku kwetu yapoa twentifoo seveni, na presha ya bomba inaweza pasua ndooHali ya upatikanaji wa maji mtaani kwako ipoje sisi wa ubungo baadhi ya maeneo tuna wiki ya nne hatujaona maji vipi mtaani kwako?
Itakuwa aRusha au moshiWapi huko
Semenya unamaanisha jasho?Line yetu mimaji full kumwagika 24/7.
Hawataki kusikia hivyooDAR WATU WANALIA MAJI SIE TUNANYWESHEA VITUNGUU SHAMBANI
Ila yashakta tulijaza tangu 11 alfajiri mpaka kama saa 4 ivi yalikata...halafu siku tatu nyuma yalikuwepo so tulikuwa bado tunayo kweny pipa yaani siku tatu mbele yanaweza kutoka Tena ...sijui huko kwenu ila ila kweny yanaenda kwa interval ya siku tatu au nne yanatoka Tena.Duuh
Na sindano za sumu amekaa tu ofisini.Hali ya upatikanaji wa maji mtaani kwako ipoje sisi wa ubungo baadhi ya maeneo tuna wiki ya nne hatujaona maji vipi mtaani kwako?