Hali ya upatikanaji wa ajira imekuwa ngumu

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Walimu watatu waliohitimu shahada ya Uzamivu (PhD) mwaka 2018 nchini Kenya wamelazimika kufundisha shule za awali [chekechea].

Hii ni Kutokana na kukosa nafasi kwenye vyuo vikuu na Taasisi za Elimu nchini humo.

Walimu hao ni Dk. John Timon Owenga, Dk. Violet Otieno na Dk. Daughty Akinyi.

 
Kozi nyingi za ngwini hata kama una PhD hakuna mtu ataona kama kuna msomi hapa, ukilinganisha na kozi za science, ngwini hoyeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…