Hali ya uchumi wa nchi imeimarika sana

Hali ya uchumi wa nchi imeimarika sana

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,287
Wandugu,

Msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi. Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasababu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.

Serikali imejielekeza zaidi katika kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha. Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.

Hivyo ajira zitarejea kama kawaida.

Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaidi na niwakuupuzwa.

Tujikite katika kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.

Nawakilisha
 
Wandugu msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi.

Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasabbu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.

Serikali imejielekeza zaid ktk kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha.

Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.

Hivyo ajira zitalejea kama kawaida.

Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaid na niwakuupuzwa.

Tujikite ktk kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.

Nawakilisha
Hapana tunatofautiana sekta waweza sekta yako ikawa inanufaika zaid ya wengine wananchi wanachotaka ni kwamba ata kama kuna ugumu wa maisha ila angalau kuwe na average ya consistence ya kimaisha katika sekta na biashara tofaut sio moja kubwa zote ndogo hapana.
 
Wandugu msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi.

Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasabbu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.

Serikali imejielekeza zaid ktk kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha.

Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.

Hivyo ajira zitalejea kama kawaida.

Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaid na niwakuupuzwa.

Tujikite ktk kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.

Nawakilisha
Mkuu labda ungesaidia kutufafanulia wengine ambao sio wataalamu wa masula ya uchumi ; Ungetufafanulia ajira zimeongeza kwa kiasi gani , ungefafanua pia exports na viwanda vimeongezeka kwa kiasi gani , pato la taifa je liko vipi ? Akiba yetu ya fedha za kigeni ikoje ?...maana kwa uchumi wetu wa kukariri hivyo ndo mojawapo ya viashiria kwamba uchumi unafanya vizuri....saidia kwa hali ya hayo machache mkuu
 
Kuna matatizo yanasababishwa na JPM kubadili 'mifumo' ya watangulizi wake na yanatuathiri kwa maana kontena zisizolipiwa ushuru, wakwepa kodi, mishahara hewa na madili machafu ya mashirika pesa zake sote tulikuwa tunazikuta mtaani na zilikuwa zinatusaidia. Japo swali lisilopingika ni hili ...."ni kwa muda gani mtu ataishi kwa kutegemea pesa haramu?".
Lakini pamoja na kudhibiti pesa haramu mengine pia anatusababishaia matatizo hasa kwenye watendaji uchwara wanaoongozwa na mizuka huku wakiwa na upeo mdogo wa kuchanganua mambo.

La muhimu, let us think globally and act locally. Uchumi haujadorora hapa kwetu tu bali ni maeneo tofauti. Nimesoma hii habari ya NAKUMATT na inatoa picha halisi kuwa sio sisi tu!

Cash-strapped Nakumatt seeks financial rescue

Cash-strapped Nakumatt seeks financial rescue
Like any other business operating in this market, Nakumatt Holdings has faced a number of unforeseen business challenges
Thursday October 27 2016
market001+pix.jpg

Empty stalls at several Nakumatt outlets around have sparked speculation over the future of the largest supermarket chain in Uganda. File photo

In Summary
  • Nakumatt reveals that it is engaging financiers to provide bridge financing options for the company to stay afloat.
  • Last year, Uchumi another Kenya-based supermarket closed its operations in Uganda, plunging unpaid suppliers into loss and protracted talks.

By MARK KEITH MUHUMUZA
KAMPALA. Empty stalls at several Nakumatt outlets around have sparked speculation over the future of the largest supermarket chain in Uganda. Several suppliers have stopped placing products on the shelves of Nakumatt at least until payments are made for previous supplies. In a Thursday statement, Nakumatt Holdings, the holding company that owns the supermarket chains in Kenya, Uganda, Tanzania and Rwanda admitted that it was in the red and was seeking a rescue.

“Like any other business operating in this market, Nakumatt Holdings has faced a number of unforeseen business challenges. These challenges range from a depressed economy, higher operating costs and extraneous factors including risk management due to prevailing security threats, among others,” the statement signed by Managing Director Atul Shah reads in part.
 
Sawa waziri nimekuelewa ila kuna msemo mmoja wa Kiswahili unasema "kusikia kwa kenge mpaka damu itoke masikio"
 
Wandugu,

Msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi. Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasababu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.

Serikali imejielekeza zaidi katika kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha. Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.

Hivyo ajira zitarejea kama kawaida.

Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaidi na niwakuupuzwa.

Tujikite katika kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.

Nawakilisha
Hata wewe umezungumza kisiasa na unapaswa kupuuzwa! Sijaona ukielezea huo uchumi ulivyopanda kwa vielelezo. Mambo ya kitaalamu uwaachie wanaojua au uwaulize kwanza wakupe shule ya kutosha ndio uje humu. Hatuwezi kujua kila kitu, mengine lazima tujifunze kutoka kwa wanaojua.
 
Huku hatuandiki hovyo kama tuko jukwaa la mapenzi.tunahitaji vyanzo sahihi vya kusapoti andiko lako.
 
Mkuu labda ungesaidia kutufafanulia wengine ambao sio wataalamu wa masula ya uchumi ; Ungetufafanulia ajira zimeongeza kwa kiasi gani , ungefafanua pia exports na viwanda vimeongezeka kwa kiasi gani , pato la taifa je liko vipi ? Akiba yetu ya fedha za kigeni ikoje ?...maana kwa uchumi wetu wa kukariri hivyo ndo mojawapo ya viashiria kwamba uchumi unafanya vizuri....saidia kwa hali ya hayo machache mkuu
akikujibu hapa walah ntakupa vocha ya 10000
 
Wee uwe unabaki tuu kule Mmu na Chit-Chat huku waachie watu wenye akili zao.
Umedangisha mpapa ukahongwa elfu hamsini unakuja spidi huku kusema uchumi umeimarika.
 
Wandugu,

Msitishwe na taarifa uchwara za baadhi ya watu kuhusu hali ya uchumi wa nchi. Ni kweli kuna mambo kadhaa yamesimama hii ni kwasababu serikali bado ina fanya maandalizi ya uchumi thabiti wa nchi.

Serikali imejielekeza zaidi katika kukusanya kodi iliiweze kutoa huduma kwa ufasaha. Sambamba na hilo serikali inaendelea kuhakiki wafanyakazi wake na zoezi hili litakamilika mwishoni mwa mwenzi huu.

Hivyo ajira zitarejea kama kawaida.

Anayesema uchumi umeshuka anazungumza kisiasa zaidi na niwakuupuzwa.

Tujikite katika kufanyakazi kwa bidii ilikujiinua kiuchumi tuache kushinda mitandaoni na kutoa lawama zisizo na mshiko.

Nawakilisha
sasa wewe mwenyewe unakiri kama baadhi ya mambo yamesimama! halafu unasema wanaotoa taarifa ni uchwara ,uko serious kweli wewe!
Au leo umepotea jukwaa? mara nyingi unakuwa kule MMU......

Unaongea uchumi wa nchi hii kama nani? na una utaalamu gani?
 
Wee uwe unabaki tuu kule Mmu na Chit-Chat huku waachie watu wenye akili zao.
Umedangisha mpapa ukahongwa elfu hamsini unakuja spidi huku kusema uchumi umeimarika.
Hahahaha! Yaani nimechempaka mpaka ofisini wananishangaa! Niseme hivi nipo serious katk hilo
 
sasa wewe mwenyewe unakiri kama baadhi ya mambo yamesimama! halafu unasema wanaotoa taarifa ni uchwara ,uko serious kweli wewe!
Au leo umepotea jukwaa? mara nyingi unakuwa kule MMU......

Unaongea uchumi wa nchi hii kama nani? na una utaalamu gani?
Kila mtu ana Uhuru wa kuongea, halafu mm ni member kama wewe sichaguliwi jukwaa. Huna haja ya kutokwa povu nenda kafanye kazi kuinua uchumi wako badala ya kukesha kwenye mtandao na kutoa mapovu
 
Back
Top Bottom