Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
Huu ni uchochezi,serikali yetu tukufu ina pesa za kutosha.
Anaweza kumteua tu kumfukuza hawezi!mfukuzaji anaweza kuanzisha mchakato wa kumfukuza kama Cag atakiuka maadili ya viongozi,lakini ni lazima iundwe tume ya kijaji kuchunguza tuhuma hizo na kushauri,majaji hao ni lazima wawe ni majaji wa mahamakama kuu kutoka nchi mwanachama wa common wealth.jaji yupi wa hovyo kati yao anawaza kuweka rehani weledi kumfurahisha mtu?Lete kidogo hiyo ibara waanze kuogopa
“Ukosefu wa fedha haupo kwenu (CAG) tu, upo serikalini kote; nikubaliane na ushauri wa Prof. (Assad), kwamba tunatakiwa kujiongeza kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ya serikali na kusimamia vizuri makusanyo yake,” alisema Kazungu ambaye ni naibu karibu mkuu wizara ya fedha(hiki ni chanzo cha uhakika)Huu ni uchochezi,serikali yetu tukufu ina pesa za kutosha.
Prof Assad haendani na 'kasi' ya Dr. Magufuli
Kasi ipi na ukata wote huo serikalini mkuu?
CAG huwa afukuzwi kirahisi kama unavyozani.Kuna bàadhi ya vyeo uteuzi wao na utenguzi wao ni mchakato mrefu sana akiwemo Gavana BOT.Professor Assad Atafukuzwa Muda si mrefu ana amini katika Professionalism sana.
“Ukosefu wa fedha haupo kwenu (CAG) tu, upo serikalini kote; nikubaliane na ushauri wa Prof. (Assad), kwamba tunatakiwa kujiongeza kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ya serikali na kusimamia vizuri makusanyo yake,” alisema Kazungu ambaye ni naibu karibu mkuu wizara ya fedha(hiki ni chanzo cha uhakika)
Je CAG hataingiliwa majukumu yake na hule muhimili korofi? But ni vyema prof Asad afuate nyayo za mtangulizi wake Bw Utto L kwa heshima yake na taifa, hii ni kwa sababu kumekuwa na kuingiliwa utendaji wa taasisi za serikali hili kuficha ufisadi na uhalifu wa uchumi wa nchiCAG hutapewa hela hadi uondoe ile riport ya uuzaji wa nyumba za serekali na ile ya upotevu wa fedha wizara ya ujenzi
Nawaza tu kwa sauti by the way nakubali utendaji wako wa kazi coz hufichi uupuzi
Mbona mchoro huu umejaa alama za ukatili?
Yaleyale ya mrema kuwapa wahalifu siku 7 waripoti kijijini kwake kwa mazungumzo zaidi,
nilishasema huu utawala awamu ya 5,wataibuka matrilionea wa hatari sana hawajawahi kutokea katika historia ya nchi hii.
Mmoja keshaanza kujitokeza,huyu Bashite,nasikia ana mwaka mmoja tu katika ajira ila anamiliki pesa ya hatari,magari ya gharama na magorofa,just one fuking year for god sake