Hali Ya U-Dart (MwendoKasi) Si Nzuri

Hali Ya U-Dart (MwendoKasi) Si Nzuri

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,795
Reaction score
9,153
Kwa nilichokishudia leo na siku mbili tatu zilizopita ni wazi hii kampuni ina hali mbaya.

Kama juhudi za makusudi hazitafanyika si muda mrefu hakuna gari itaingia njiani. Kampuni inaonekana ni wazi kabisa ina hali ngumu ya kiuchumi. Na kuna dalili ya kimgomo baridi kinaendelea. Nina wasiwasi wafanyakazi hawajalipwa mishahara yao au malimbikizo yao.
 
Kwa nilichokishudia leo na siku mbili tatu zilizopita ni wazi hii kampuni ina hali mbaya.


Kama juhudi za makusudi hazitafanyika si muda mrefu hakuna gari itaingia njiani . Kampuni inaonekana ni wazi kabisa ina hali ngumu ya kiuchumi. Na kuna dalili ya kimgomo baridi kinaendelea. Nina wasiwasi wafanyakazi hawajalipwa mishahara yao au malimbikizo yao.
usiongee kwa wasiwasi waja waje wenyewe kusema au na ww ni mmoja wao kwa gia ya mashuhudaa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nilichokishudia leo na siku mbili tatu zilizopita ni wazi hii kampuni ina hali mbaya.


Kama juhudi za makusudi hazitafanyika si muda mrefu hakuna gari itaingia njiani . Kampuni inaonekana ni wazi kabisa ina hali ngumu ya kiuchumi. Na kuna dalili ya kimgomo baridi kinaendelea. Nina wasiwasi wafanyakazi hawajalipwa mishahara yao au malimbikizo yao.
huo usafiri hauna uhakika kabisa unaweza kutoka nagari gerezani kwenda kimara mkaishia urafiki gari imebuma usumbufu km huo nani anautaka...
 
usiongee kwa wasiwasi waja waje wenyewe kusema au na ww ni mmoja wao kwa gia ya mashuhudaa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi abiria tu lakini kwa kuwa kila siku nautumia usafiri huu mabadiliko nayashuhudia. Kupeleka hizi gari level sit kwa namna yalivyokuwa designed ni hasara kubwa. Mbaya zaidi hata abiria wengi hasa wa vituo vya kati wameshaitema. Sio poa.
 
Mimi abiria tu lakini kwa kuwa kila siku nautumia usafiri huu mabadiliko nayashuhudia. Kupeleka hizi gari level sit kwa namna yalivyokuwa designed ni hasara kubwa. Mbaya zaidi hata abiria wengi hasa wa vituo vya kati wameshaitema. Sio poa.
hapo sawa mkuu nawaona hata mm lile tabasamu la kufanya kazi hawana kama mwanzo kila kitu automatic mpaka ticket sa hizi wanaona hata aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza haya mabasi yangeitwa MABASI YENYE NJIA MAALUM. Huwezi kuita mwendo kasi wakati speed yake ni 60-80km/h, ilitakiwa kutoka mbezi hadi kariakoo iwe ni dakika 10 tu. Halafu walikuwa wameshajifanya miungu wa dar wanahudumia kwa kujisikia. Naichukia sana hiyo kampuni (haina hadhi ya kuwa wakala wa serikali).
 
Kwa sasa 85% inamilikiwa na serikali ya Meko
Kwa nilichokishudia leo na siku mbili tatu zilizopita ni wazi hii kampuni ina hali mbaya.

Kama juhudi za makusudi hazitafanyika si muda mrefu hakuna gari itaingia njiani. Kampuni inaonekana ni wazi kabisa ina hali ngumu ya kiuchumi. Na kuna dalili ya kimgomo baridi kinaendelea. Nina wasiwasi wafanyakazi hawajalipwa mishahara yao au malimbikizo yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"kituo kinachofwata ni...?" nahisi ata yule mrembo kachoka nae sku izi kutangaza.
 
Mimi abiria tu lakini kwa kuwa kila siku nautumia usafiri huu mabadiliko nayashuhudia. Kupeleka hizi gari level sit kwa namna yalivyokuwa designed ni hasara kubwa. Mbaya zaidi hata abiria wengi hasa wa vituo vya kati wameshaitema. Sio poa.

sasa unataka wafanyaje na kuna corona ndugu
 
Kwanza haya mabasi yangeitwa MABASI YENYE NJIA MAALUM. Huwezi kuita mwendo kasi wakati speed yake ni 60-80km/h, ilitakiwa kutoka mbezi hadi kariakoo iwe ni dakika 10 tu. Halafu walikuwa wameshajifanya miungu wa dar wanahudumia kwa kujisikia. Naichukia sana hiyo kampuni (haina hadhi ya kuwa wakala wa serikali).
Ni aibu kuwa na verified id alafu unakuwa mtupu kiasi hiki.
 
Tatizo wafanyakazi wa mwendo kasi nao huduma nzuri hawana.

Wana nyodo utanadhani wanafanya kazi mbinguni wakati wengi choka mbaya tu.

Unakuta mkatisha tiketi ama dreva anajiona ana bonge la kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom