Mvua zimenyesha hutaki warekebishe Miundombinu Msukuma?Mwanza kuna mgao wa Umeme wa hatari, yaani imefika hatua ukienda kwa kinyozi inabidi uende na kofia maana haifahamiki TANESCO watakata Umeme muda gani!
Hapa ninapoandika Umeme umekatika tangu saa moja asubuhi! Kabla ya kifo cha Mzee mbona Ujinga huu ulikuwa hakuna?
Bila Tangazo kuwa kuna kukata umeme kwasababu a,b,nk? Au wamerudi kwenye biashara yao ya majenereta?Mvua zimenyesha hutaki warekebishe Miundombinu Msukuma?
Ni nderemo na vifijoMwezi mmoja baada ya Rais Dkt. John Magufuli kututoka nini kimebadilika katika nchi?
Nini unamiss kutokana na kukosekana kwake?
Unaionaje nchi bila yeye?
Furaha ya watanzania imerudi,
Mungu atuepushe tusiangukie kwenye mikono ya dikteta asie na akili Kama mwendazake
Mwezi mmoja baada ya Rais Dkt. John Magufuli kututoka nini kimebadilika katika nchi?
Nini unamiss kutokana na kukosekana kwake?
Unaionaje nchi bila yeye?
Majambazi yataiba simu na earphone kaa ndani hata mchana yapo yanataka simu yako.Nchi imepoa sana, nalimiss amshaamsha ya baba! Yaani dunia kwa sasa imeboa sana, hata matisho ya taarifa za corona kutoka kwa makuadi wa corona na mabeberu pia imechuja sana I see! Hatusikii tena matamko kutoka nje juu ya corona Tz, japokuwa hakuna tulichobadili na tunaendelea na maelekezo ysleyale ya shujaa wetu Mh Dr JPM! Matukio ya ujambazi na uvunjaji maduka na mabenki yameanza kushamiri! Nilizoea kutembea usiku huku nachat na earphones kwa sasa sina ujasiri huo tena!Mungu tunaomba umrehemu na umpumzishe mpendwa wetu Mh Dr JPM mahala pema penye raha ya milele shujaa wetu, amen🙏😭😭😭!
He passed away and the life goes on, nothing elseMwezi mmoja baada ya Rais Dkt. John Magufuli kututoka nini kimebadilika katika nchi?
Nini unamiss kutokana na kukosekana kwake?
Unaionaje nchi bila yeye?
Unachokizungumza kipo kwa mujibu wa sheria so huez sifu mtu kwa kuvunja sheria, then hiyo haki akarudishiwa mtu halaf umsifu alieirudisha hiyo haki. Think about itUhuru wa habari haujaongezeka?