Hali ya mvua kwenu ikoje?

Huku mwambao wa pwani ya bahari ya hindi, itaua mtu sasa hivi I am writing now! 9:29 AM
ni saa10:07 pande izi,

mvua imetamalaki mno ikiambatana sambamba kabisa na upepo mkali sana wa kisulisuli inazama mpaka ndani nyumba bila wasiwasi wowote. Aiseee acha kabisaa ni ukungu wa kutisha nje ...

nikiripoti kutoka kijichi dsm, mm ni Tlaatlaah wa JF family...
 
Huku dodoma mjini leo tangu asubui hali ya hewa nzuri saana! Nakuna jua kali, mawingu mawingu upepo mwananaaa!
 
ni saa10:07 pande izi,

mvua imetamalaki mno ikiambatana sambamba kabisa na upepo mkali sana wa kisulisuli inazama mpaka ndani nyumba bila wasiwasi wowote. Aiseee acha kabisaa ni ukungu wa kutisha nje ...

nikiripoti kutoka kijichi dsm, mm ni Tlaatlaah wa JF family...
imerudi sasa hivi 10:13, balaa....upepo pia....
 
Basi mvua naona imetulia kidogo.......pangani hakuendeki, all is mud, mud mud.... can't move.....
Mkuu unakaa Pangani Kumbe 😳😳😳
😅😅😅
Kuna mtu kaniambia na kanitumia picha hapa pangani hapatamaniki na Kule Ng'ambo Daraja limekatika..😅😅 kwahyo mzee hawasafiri wa mkwaja kuja Tanga

IMG-20231115-WA0007.jpg
7
IMG-20231115-WA0006.jpg
IMG-20231115-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom