DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,610
- 17,832
Hahaha Niko Maeneo ya RASKAZONE mkuuUKO SEHEMU GANI?
Hahaha Niko Maeneo ya RASKAZONE mkuuUKO SEHEMU GANI?
Huku mjini panapiga ile mbayaHuku Pongwe wingu limefunga.
Basi mvua naona imetulia kidogo.......pangani hakuendeki, all is mud, mud mud.... can't move.....Hahaha Niko Maeneo ya RASKAZONE mkuu
Siku moja Moja wanapatiaKumbe yale manyangau ya TMA hayali kodi zetu za bure sometime yanasema ukweli
ni saa10:07 pande izi,Huku mwambao wa pwani ya bahari ya hindi, itaua mtu sasa hivi I am writing now! 9:29 AM
imerudi sasa hivi 10:13, balaa....upepo pia....ni saa10:07 pande izi,
mvua imetamalaki mno ikiambatana sambamba kabisa na upepo mkali sana wa kisulisuli inazama mpaka ndani nyumba bila wasiwasi wowote. Aiseee acha kabisaa ni ukungu wa kutisha nje ...
nikiripoti kutoka kijichi dsm, mm ni Tlaatlaah wa JF family...
Mkuu unakaa Pangani Kumbe 😳😳😳Basi mvua naona imetulia kidogo.......pangani hakuendeki, all is mud, mud mud.... can't move.....
ni 🔥aiseimerudi sasa hivi 10:13, balaa....upepo pia....
Mtanga huyoNi maeneo gani hasa inataka kuua watu, mwambao wa pwani ni eneo kubwa sana.
SAFARI HII YAMESEMA KWELI... KIJAZI NAONA ALIKUWA NUKSIKumbe yale manyangau ya TMA hayali kodi zetu za bure sometime yanasema ukweli
Siku hizi wanajitahidi naonaKumbe yale manyangau ya TMA hayali kodi zetu za bure sometime yanasema ukweli
SI KWELI......napita tu hapa kwa shuguli maalumMtanga huyo
Ni binadamu wote au ni Africa tu ?Binadamu hatuna ujanja yaani mvua kidogo ratiba zetu zote kwisha..
Huku Kange Kasera inanyeshaHuku Pongwe wingu limefunga.
Hahaha mbona mara nyingi upo Tanga kijana?SI KWELI......napita tu hapa kwa shuguli maalum
Mkuu upo pongwe hapo kitambo sana nimetoka mitaa ya basi kuna ndugu zangu kule.Huku Pongwe wingu limefunga.