kila mtu kazini kwangu amejiinamia! n huzuni na simanzi! binafsi sijalala kwa siku mbili pamoja na wadogo zangu; tena kuna mmoja yupo shulen alinipigia simu analia ikaniongezea uchungu! machozi ya watanzania yataenda bure! Mungu atalipa! sisi tumefundshwa kuushinda ubaya kwa wema!
Mimi huku nilipo niliweka dau na mtu na tukaandikishiana kabisa kuwa magufuli akishinda ninampa elfu 50.Lakini cha kushangaza hata kunidai au kukumbushia tu hakuna.Nahisi hata yeye anajua kuwa magufuli hajashinda bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.