Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,704
- 7,409
Ktk pitapita zangu najikuta natua wilayani Monduli ambapo maji ni tabu kama Tabora na Mtwara ambapo pia nimepita. Kwa kweli wananchi ktk maeneo haya haswa Monduli wanachangia maji machafu ya madimbwi na mabwawa na mifugo.
Sasa najiuliza ile Monduli ya Lowassa ndiyo hii? Nikaambiwa kuna Mbunge kijana Kalanga Mkimbizi kutoka Chadema na sasa CCM, lakini hali ni ile ile. Tukiwa maeneo mbalimbali ya nchini mwetu tunasikia Monduli ni kama ulaya. Usidanganywe hakuna kitu pale. Kuanzia Makuyuni, selela, Nanja, Moita, Loksalie, Esilalei, Noolarami, Elwai nk maji ni shida tupu. Sijui kama nimeweza kutamka na kuandika vizuri majina ya maeneo haya kwani nimesaidiwa na wenyeji. Nitafanya utafiti kidogo juu ya waterborne diseases (magonjwa yaambukizwayo na maji) ktk hospital ya wilaya ya Monduli na vituo vyake vya Afya nije na mrejesho. Hata kijijini kwa Mbunge Kalanga na mstaafu Lowassa unaambiwa hakuna maji japo sijafika.
Sasa najiuliza ile Monduli ya Lowassa ndiyo hii? Nikaambiwa kuna Mbunge kijana Kalanga Mkimbizi kutoka Chadema na sasa CCM, lakini hali ni ile ile. Tukiwa maeneo mbalimbali ya nchini mwetu tunasikia Monduli ni kama ulaya. Usidanganywe hakuna kitu pale. Kuanzia Makuyuni, selela, Nanja, Moita, Loksalie, Esilalei, Noolarami, Elwai nk maji ni shida tupu. Sijui kama nimeweza kutamka na kuandika vizuri majina ya maeneo haya kwani nimesaidiwa na wenyeji. Nitafanya utafiti kidogo juu ya waterborne diseases (magonjwa yaambukizwayo na maji) ktk hospital ya wilaya ya Monduli na vituo vyake vya Afya nije na mrejesho. Hata kijijini kwa Mbunge Kalanga na mstaafu Lowassa unaambiwa hakuna maji japo sijafika.