A man from Island
JF-Expert Member
- Aug 13, 2020
- 536
- 1,228
Hapo kwel shida sio hiyo 16k ila shida inakuwaje vipimo viwili ambavyo kwa kawaida maabara nyingi kipimo kimoja cha mkojo ama damu ni 3k, halaf utozwe 16k tena kwa kipmo kimoja!
Hii inchi hii tunakoelekea MUNGU tu ndo anajua.
Wale wanaosema 16k sio ya kulalamikia, mkumbuke watu tunatofautiana maisha, kuna watu wanapambana sana lakn nati bado zimekaza mbaya mbovu, kama ndo hvyo maisha yatakuaje?
Hii inchi hii tunakoelekea MUNGU tu ndo anajua.
Wale wanaosema 16k sio ya kulalamikia, mkumbuke watu tunatofautiana maisha, kuna watu wanapambana sana lakn nati bado zimekaza mbaya mbovu, kama ndo hvyo maisha yatakuaje?