MstakariHonest sina muda wa kubishana na nyie......maana mnacheza mziki wa CCM kwa kutikisa vichwa bila ya nyie wenyewe kujitambua.......KESHO TENA POLE POLE asipoonekana ofisini mtacheza tena MZIKI WA CCM huku siku zinazidi kuyoyoma na kushindwa kuhoji mambo ya msingi kwa mstakari wa NCHI HII......kwa mfano tu....ikitokea KINANA akajiuzulu CCM hiyo itakuwa na impact ipi kwa mustakari wa maisha ya MTANZANIA????????....SHAURI ZENU NA UPUUZI WENU
Wapuuzi ni nyinyi lumumba bk7. Baada ya kuchangia hoja unachangia "vijana WAPUUZI wa nchi" wewe ukiwemo. Vwonder vitajengwa kwa upuuzi huu wa wapuuziNchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Povu la nini sasa?OMO? ARIEL? CLEAN SoFT? Au TOSS?Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Kusema kweliPolepole , kinana mlimpa likizo ya ugonjwa gani?
Ni kweri Mkuu Kinana alionekana ni mtu mwenye msiongo wa mawazo aliepoteza matumaini ya kutimia kwa ndoto zake na mwenye hasira mnoIla hakuwa na uso wa furaha. Kuna kitu lazima, wala si ugonjwa
MJIREKEBISHE HAMTA KUTANA NA MADA KAMA HIZI!Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Ndio maana kuna MTU hapo juu kakuambia hujiwezi kichwani! Umeshindwa kujua sababu ya watu kuhoji wapi Kinana na sasa kufuatilia trend ya afanyayo? Kama hujui uliza, hayo ni mambo ambayo wenye ufahamu ndio wanafuatilia.Honest sina muda wa kubishana na nyie......maana mnacheza mziki wa CCM kwa kutikisa vichwa bila ya nyie wenyewe kujitambua.......KESHO TENA POLE POLE asipoonekana ofisini mtacheza tena MZIKI WA CCM huku siku zinazidi kuyoyoma na kushindwa kuhoji mambo ya msingi kwa mstakari wa NCHI HII......kwa mfano tu....ikitokea KINANA akajiuzulu CCM hiyo itakuwa na impact ipi kwa mustakari wa maisha ya MTANZANIA????????....SHAURI ZENU NA UPUUZI WENU
Mkuu kapicha tafadhali wengine jatuku batika kutazama tv tulikuwa machokoroni kuamia ndegeIla hakuwa na uso wa furaha. Kuna kitu lazima, wala si ugonjwa
Ndio kubishana kwenyewe huko!!Honest sina muda wa kubishana na nyie......maana mnacheza mziki wa CCM kwa kutikisa vichwa bila ya nyie wenyewe kujitambua.......KESHO TENA POLE POLE asipoonekana ofisini mtacheza tena MZIKI WA CCM huku siku zinazidi kuyoyoma na kushindwa kuhoji mambo ya msingi kwa mstakari wa NCHI HII......kwa mfano tu....ikitokea KINANA akajiuzulu CCM hiyo itakuwa na impact ipi kwa mustakari wa maisha ya MTANZANIA????????....SHAURI ZENU NA UPUUZI WENU
Nalo neno!Sasa unataka awe na uso wa furaha kwenye msiba??
Vijana wengi walio CCM ni kichwani hamnazo..
Yani sichelei kusema CCM kwa sasa limekuwa completely kusanyiko la watu WAJINGA.
Mkuu tumia akili hilo umesema wewe. Don't go beyond the context of the author's contents. Uchungu wa mtu ni kiasi cha hasira kilicho jikusanya ndani ya moyo wake, hivyo wewe una wako na yeye ana wake. Wewe umeelewa hivo mbona ss tume elewa tofauti na hatuja andika tulivyo mwelewa? Mtajipa magonjwa ya moyo bure.Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Hayo ni maoni yakoNchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Huyo ndio no 1 Mkuu.Including Slow slow.