GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Mpaka chama tawala kiondoke madarakani kwa sababu mizimu ya mugabe bado ipoNimeshangaa sana. Mafuta ya petrol kufika dola 3.4 kwa lita wakati nchini marekani mafuta yako dola 0.7 kwa lita inamaanisha kwamba hali ya uchumi ni mbaya sana nchini Zimbabwe.
Licha ya wananchi wa Zimbabwe kuwa masikini wanalazimika kulipa mafuta bei mara 5 ya Marekani ambayo ni nchi tajiri.
Hivi vikwazo dhidi ya Zimbabwe vitolewe la sivyo haitatawalika kamwe.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app