Kambi za Marekani zinazidi kuteketezwa huko Middle East hali ni mbaya sana

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Kambi za Marekani huko Syria na Iraq zimeanza kuchomwa kwa kasi huko Mashariki ya kati.

Hali inazidi kuwa mbaya! Naskia kuna taarifa kuwa Marekani imepanga kuhamisha wanajeshi wake huko.

Tayari wanajeshi kadhaa wa Marekani washakufa huko middle East huu mgogoro unaelekea pabaya sana.

Na mpakani mwa Lebanon na Israel msuguano kati ya Israel na Hezbollah ni mbaya zaidi tayari IDF ishapoteza wanajeshi 40+ na Hezbollah imepoteza wapiganaji wake 16.

Hatima ya huu mgogoro sijui itakuaje.
 
UN waishinikize Israel kukubali kuyaachia maeneo ya Palestina na mwisho wa siku Mataifa mawili yatambulike rasmi katika hilo eneo.
 
Kama habari hii ni kweli. Narudia Tena,kama habari hii ni kweli. Na kama USA ikianza kujibu mapigo basi ujue hiyo vita itakua kama ya Ukraine na Urusi. Maana yangu mahasimu wote wa USA watawapa silaha wapinzani wa USA ili USA achapwe vizuri. Tusubiri.
 
Kama habari hii ni kweli. Narudia Tena,kama habari hii ni kweli. Na kama USA ikianza kujibu mapigo basi ujue hiyo vita itakua kama ya Ukraine na Urusi. Maana yangu mahasimu wote wa USA watawapa silaha wapinzani wa USA ili USA achapwe vizuri. Tusubiri.
Ni nami hasimu wa US kadri yako?
 
samaleko naona unampigania mnyazimungu wa magaidi. wenzako washatangulia kuwai mabikra. tafuta bomu vaa kajilipue israel ili uende pepon kuwai mabikra wasiiishe maana wenzako wanaenda wengi kila siku. hawataisha kweliiii?
Wewe utakufa. Pengine kwa mwanamke baada ya kufamaniwa
 
samaleko naona unampigania mnyazimungu wa magaidi. wenzako washatangulia kuwai mabikra. tafuta bomu vaa kajilipue israel ili uende pepon kuwai mabikra wasiiishe maana wenzako wanaenda wengi kila siku. hawataisha kweliiii?
Na hawa Wakistto vipi???
 

Attachments

  • 7145e3c0-0ee4-434a-9e32-626d8d52e548.mov
    6.2 MB
Kambi za Marekani huko Syria na Iraq zimeanza kuchomwa kwa kasi huko Mashariki ya kati.

Hali inazidi kuwa mbaya! Naskia kuna taarifa kuwa Marekani imepanga kuhamisha wanajeshi wake huko.

Tayari wanajeshi kadhaa wa Marekani washakufa huko middle East huu mgogoro unaelekea pabaya sana.

Na mpakani mwa Lebanon na Israel msuguano kati ya Israel na Hezbollah ni mbaya zaidi tayari IDF ishapoteza wanajeshi 40+ na Hezbollah imepoteza wapiganaji wake 16.

Hatima ya huu mgogoro sijui itakuaje.
Bila picha?
 
UN waishinikize Israel kukubali kuyaachia maeneo ya Palestina na mwisho wa siku Mataifa mawili yatambulike rasmi katika hilo eneo.
Hii sio solutions taifa libaki moja Israel au Palestine wapigane apatite mshinda mmoja au mmoja ahamishwe
 
Back
Top Bottom