wabunge (nccr-4,ccm-3,chadema-1 (kigoma kaskazini))
kigoma kaskazini
1. Hakuna ofisi ya jimbo, inafunguliwa uchaguzi ukikaribia na inafungwa uchaguzi ukiisha.
2. Chadema ina madiwani 2 kati ya 10
Huwa ninacheka sana nikiona hali ya kisiasa ya Chadema kwenye jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mara nyingi ninajaribu kulinganisha na uimara wa Chadema kwenye majimbo ya Arusha Mjini,Musoma mjini,Karatu,Hai na Ubungo.
Haya mambo ndiyo maana wakati mwingine yanatupa wasiwasi na tunashindwa kuaminiana.
wabunge (nccr-4,ccm-3,chadema-1 (kigoma kaskazini))
kigoma kaskazini
1. Hakuna ofisi ya jimbo, inafunguliwa uchaguzi ukikaribia na inafungwa uchaguzi ukiisha.
2. Chadema ina madiwani 2 kati ya 10
Funguka kiongozi, naona kuna kitu unataka kusema!
wabunge (nccr-4,ccm-3,chadema-1 (kigoma kaskazini))
kigoma kaskazini
1. Hakuna ofisi ya jimbo, inafunguliwa uchaguzi ukikaribia na inafungwa uchaguzi ukiisha.
2. Chadema ina madiwani 2 kati ya 10
wabunge (nccr-4,ccm-3,chadema-1 (kigoma kaskazini))
kigoma kaskazini
1. Hakuna ofisi ya jimbo, inafunguliwa uchaguzi ukikaribia na inafungwa uchaguzi ukiisha.
2. Chadema ina madiwani 2 kati ya 10
kumbuka mahojiano ya Prezo na wana JF alisema JK hakwenda kumnadi mgombea CCM kwa makubaliano. Je yeye alipewa sharti gani? yawezekana usijaribu kabisa kuimarisha CDM katika jimbo lako. Ni mtazamo wangu tu.
Huwa ninacheka sana nikiona hali ya kisiasa ya Chadema kwenye jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mara nyingi ninajaribu kulinganisha na uimara wa Chadema kwenye majimbo ya Arusha Mjini,Musoma mjini,Karatu,Hai na Ubungo.
Haya mambo ndiyo maana wakati mwingine yanatupa wasiwasi na tunashindwa kuaminiana.
iringa na Mbeya mkuu! hahahahahaha!
nasikia kuna chama kipya bendera zake zimetamalaki kigoma kaskazini...!
Amejitahidi sana kuzuia ukuaji wa cdm katika eneo hilo!wabunge (NCCR-4,CCM-3,CHADEMA-1 (Kigoma Kaskazini))
kigoma kaskazini
1. Hakuna ofisi ya jimbo, inafunguliwa uchaguzi ukikaribia na inafungwa uchaguzi ukiisha.
2. Chadema ina madiwani 2 kati ya 10
Huwa ninacheka sana nikiona hali ya kisiasa ya Chadema kwenye jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mara nyingi ninajaribu kulinganisha na uimara wa Chadema kwenye majimbo ya Arusha Mjini,Musoma mjini,Karatu,Hai na Ubungo.
Haya mambo ndiyo maana wakati mwingine yanatupa wasiwasi na tunashindwa kuaminiana.
Amejitahidi sana kuzuia ukuaji wa cdm katika eneo hilo!
maana yake nini sasa tupe mwongozo mkuuHoja dhaifu kama hizi huwa hazina nguvu yoyote huko kigoma kaskazini hata kama zitto asifike kwa miaka yote yeye ataendelea kuwa mbunge mpaka achoke yeye.
Hivyo kuwe na ofisi ya chadema au kusiwe na ofisi yeye si shida na fikiri mtoa mada bado hujaweza kutengeneza hoja yako vema.
Kisha kuna mbunge mmoja wa chadema na ndio yeye peke yake kwenda kwake kuna barabara safi na bora sifahamu hao wengine walio wengi wamefanya nini kwenye majimbo yao.
Ni vema kwa mtanzania kuongea mambo muhimu ya kujenga nchi hii na si kuwa na hoja za kwenye vijiwe vya kahawa kisha unaleta kwenye kadamnasi hii.