FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,147
- 40,834
Yaan hata mimi nimeshangaa toka jana kuna upepo mwanana sana..
Do you mean it's snowing in Dar?
Walahi umesahau kusema walahi,walahiMwenye Enzi Mungu yuko upande wetu nani atathubutu kuwa juu yetu?
Huko si ndiko chimbuko la malaika wa shetani? Lazima kufanane na kuzimu,joto la kuzidiHapa Chatto ni joto balaa si usiku wala mchana
Dah! Bora...ila na huku mbeya hali kama ya huko coz unaweza tembea ghafla ukaanguka bila ya kujua aliyekuangusha ni yupi.Huu mwaka hauna joto mkuu
Huku Posta watu wembamba wanatembea huku wanayumba yumba kama walevi. Wale walio wanene ndio wanatumia fursa kujipatia kipato. Unamshikilia ili usipeperushwe mpaka mnafika mlangoni mwa ofisi yako ndo unampa chake.Nasikia kuna upepo unaweza angushwa kama hujashiba vzr...
Duuuh😃Huku Posta watu wembamba wanatembea huku wanayumba yumba kama walevi. Wale walio wanene ndio wanatumia fursa kujipatia kipato. Unamshikilia ili usipeperushwe mpaka mnafika mlangoni mwa ofisi yako ndo unampa chake.
Hiyo nchi nani alikupa wewe?Au unazungumzia mipaka ya Berlin 1885 Africailipogawanywa?Utumwa wa akili ndo adui yenu mkubwa!Unajidai kujuwa kumbe mtutpu kama kopo la chooni. Hiyo mipaka uliweka wewe?Hiyo nchi ulijipangia wewe hiyo mipaka?Hujui unachoongea mental slave.Yes my dear, kutoka kwa Mola wangu kwa kuiumbia mema nchi yangu, walahi
Kufananisha dar na Moscow ni saw a na kufananisha mavi nabpilaWakuu naona tokea jana hali ya hewa ya Dar imebadilika gafla na kuwa kama Moscow Russia
Mliopo dar hebu tujuzane pande mlizopo hali ya hewa ipo vipi bila kuwasahau wa mikoani pia.
Ndio maana kuanzia leo safari za boti Dar Zanzibar zimesitishwa.... inaonekana kuna machafuko wa bahari.!Huku Posta watu wembamba wanatembea huku wanayumba yumba kama walevi. Wale walio wanene ndio wanatumia fursa kujipatia kipato. Unamshikilia ili usipeperushwe mpaka mnafika mlangoni mwa ofisi yako ndo unampa chake.